SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
ZITTO: MAGUFULI ANASEMA NIKAMATWE? TRA WANADANGANYA MAPATO ZITTO: MAGUFULI ANASEMA NIKAMATWE? TRA WANADANGANYA MAPATO
Nisahihishe basi mkuu.Naona unauliza majibu sijui swali atauliza nani
Wewe na zito wako msitutoe kwenye Agenda ya Mh Lisu Mnafikili sisi hatuwajui nyie
Kati ya Serikali na Zito nani ni kichwa kigumu zaidi ya jiwe!!???Mtani asante sana. Umempa Mh. Zitto nafasi nzuri ya kujieleza. Na kama mwanahabari nguli hukumuingilia katika maelezo yake.
Mimi sio mwana-habari lakini najiuliza, Mh. Zitto anataka kutueleza nini hapa (what is the NEWS content)?
Serikali imetuambia kitu kimoja na yeye anatuambia kingine. Serikali inatuambia uchumi unaimarika na yeye anasema uchumi unasinyaa. These are finer points for the Economists to ponder.
Je, kutokana na mchakato wake:
☆ Serikali imeiba hela za wananch?
☆ Kuna mchezo mchafu unaofanywa na serikali kuwadhulumu wananchi?
☆ Serikali ina malengo maovu juu ya wananchi wake kutokana na matamshi yake?
☆ Na mengineyo mengi.
Kama serikali inajaribu kwa uwezo wake wote kuwahudumia wananchi wake na kuleta maslahi mema ya taifa letu, kwa nini Mh. Zitto anajaribu kuivua nguo (embarrass) hii serikali?
Kuna mengine mengi ya kujiuliza. Kama anachosema ni kweli:
* Anataka serikali ifanye nini sasa?
* Kuna kitu tofauti ambacho kingepaswa kufanyika nchini hapo nyuma kama anachosema kingejulikana awali?
* Ni kitu gani tofauti kingefanyika leo kama anachokisema Mh. Zitto kikibainika ni kweli?
Sitaki kukuingilia katika taaluma yako mtani lakini haya ndio yangekuwa maswali yangu kwa mgeni wako Mh. Zitto Kabwe.
Sasa Paskali mbona ndio umemuumiza zaidi president wetu? Yaani ni kama umempa Zitto nafasi ya kushindilia vizuri msumari, Lol!!
Nishawaambia Zitto asipewe nafasi ya kujieleza, bado hatuna mtu wa kujibishana nae kwa hoja na data. Atatuumbua zaidi
Huo ndiyo uzareendooNisahihishe basi mkuu.
Ukitaka huo Uzi wako peleka TBC na Uhuru na mzareendoCjui kwann modes ukileta uzi wa kuisifia serikali wanaufutilia mbali haraka sana
Anastaili sawa na ya MurroMayalla apewe ukuu wa wilaya atulie sasa
Mlamba viatu vya bashiteNilitegemea kuona majibu ya Taarifa ya Uchumi ya Kamati kuu ya ACT-wazalendo yakijibiwa na wataalamu wa masuala ya Uchumi kwa hoja.
Ila mgombea nafasi ya mpambe amejitokeza na kubwajabwaja maneno hayaendani na hoja.
Kumbe Ugonjwa wa zittoism sio kwa mkuu tu mpaka wapambe nuksi wa wapambe.
Wanabodi
Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.
Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.
Paskali
Hata mm naona hicho kituKuna jinsi Paschal anavyofikisha ujumbe ngumu sana kuielewa, inafikisha ujumbe kwa mlengwa bila jazba.
umeandika kwa busara sanaRaisi sio baba pascal raisi ni mtumishi wa umma he works for the people tena he is paid to do that its a job.the problem ni kwamba wakiwa maraisi wanajisahau totally just bcoz he is protected wanasahau why they r protected and from whom they are protected against hiki cheo sio cheo kizuri.baba ni kitu kikubwa sana kuliko uraisi no father is paid to be a father while its permanent once a father alwayz a father.tutake radhi kina baba kutufananisha na dhambi za ofisi ya uraisi...
Mungu akuzidishie kila lenye kheri na maisha marefu mkuuRaisi sio baba pascal raisi ni mtumishi wa umma he works for the people tena he is paid to do that its a job.the problem ni kwamba wakiwa maraisi wanajisahau totally just bcoz he is protected wanasahau why they r protected and from whom they are protected against hiki cheo sio cheo kizuri.baba ni kitu kikubwa sana kuliko uraisi no father is paid to be a father while its permanent once a father alwayz a father.tutake radhi kina baba kutufananisha na dhambi za ofisi ya uraisi...