Face to Face with Zitto Kabwe: Kuhusu Kupika Data, "Namheshimu Sana Rais Magufuli ila Sio Mkweli!. Uchumi Umesinyaa!.

Wanabodi

Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.

Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.



Paskali

Pasco umeamua kuwatukana watanzania yaani rais ni mzazi wa wananchi wa Tanzania?
 
Inategemea huyo Baba yako amekuzoesha kumdanganya kwa kiwango gani! Kumbuka sio yeye aliezitengeza hizo Takwimu! Bali kapewa na wajanja wanaojua ni kitu gani anapenda kukisikia! Sitarajii Mzee kama akibebeshwa taka tutaacha kumwambia kwa vile ni baba! Huo utakuwa unafiki wa kufa MTU!
Kukubali na kushangilia kila kinachosemwa na wakubwa wa Lumumba ndiyo ilani ya chama chao
 
Wanabodi

Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.

Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.



Paskali

Mtani asante sana. Umempa Mh. Zitto nafasi nzuri ya kujieleza. Na kama mwanahabari nguli hukumuingilia katika maelezo yake.

Mimi sio mwana-habari lakini najiuliza, Mh. Zitto anataka kutueleza nini hapa (what is the NEWS content)?

Serikali imetuambia kitu kimoja na yeye anatuambia kingine. Serikali inatuambia uchumi unaimarika na yeye anasema uchumi unasinyaa. These are finer points for the Economists to ponder.

Je, kutokana na mchakato wake:
☆ Serikali imeiba hela za wananch?

☆ Kuna mchezo mchafu unaofanywa na serikali kuwadhulumu wananchi?

☆ Serikali ina malengo maovu juu ya wananchi wake kutokana na matamshi yake?

☆ Na mengineyo mengi.

Kama serikali inajaribu kwa uwezo wake wote kuwahudumia wananchi wake na kuleta maslahi mema ya taifa letu, kwa nini Mh. Zitto anajaribu kuivua nguo (embarrass) hii serikali?

Kuna mengine mengi ya kujiuliza. Kama anachosema ni kweli:
* Anataka serikali ifanye nini sasa?

* Kuna kitu tofauti ambacho kingepaswa kufanyika nchini hapo nyuma kama anachosema kingejulikana awali?

* Ni kitu gani tofauti kingefanyika leo kama anachokisema Mh. Zitto kikibainika ni kweli?

Sitaki kukuingilia katika taaluma yako mtani lakini haya ndio yangekuwa maswali yangu kwa mgeni wako Mh. Zitto Kabwe.
 
Mtani asante sana. Umempa Mh. Zitto nafasi nzuri ya kujieleza. Na kama mwanahabari nguli hukumuingilia katika maelezo yake.

Mimi sio mwana-habari lakini najiuliza, Mh. Zitto anataka kutueleza nini hapa (what is the NEWS content)?

Serikali imetuambia kitu kimoja na yeye anatuambia kingine. Serikali inatuambia uchumi unaimarika na yeye anasema uchumi unasinyaa. These are finer points for the Economists to ponder.

Je, kutokana na mchakato wake:
☆ Serikali imeiba hela za wananch?

☆ Kuna mchezo mchafu unaofanywa na serikali kuwadhulumu wananchi?

☆ Serikali ina malengo maovu juu ya wananchi wake kutokana na matamshi yake?

☆ Na mengineyo mengi.

Kama serikali inajaribu kwa uwezo wake wote kuwahudumia wananchi wake na kuleta maslahi mema ya taifa letu, kwa nini Mh. Zitto anajaribu kuivua nguo (embarrass) hii serikali.

Kuna mengine mengi ya kujiuliza. Kama anachosema ni kweli:
* Anataka serikali ifanye nini sasa?

* Kuna kitu tofauti ambacho kingepaswa kufanyika nchini hapo nyuma kama anachosema kingejulikana awali?

* Ni kitu gani tofauti kingefanyika leo kama anachokisema Mh. Zitto kikibainika ni kweli?

Sitaki kukuingilia katika taaluma yako mtani lakini haya ndio yangekuwa maswali yangu kwa mgeni wako Mh. Zitto Kabwe.
Naona unauliza majibu sijui swali atauliza nani
 
Back
Top Bottom