Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,612
Mkuu Paschal hii serikali ni balaa tupu, tuombe Mungu jamaa amalize muda wake salama.
Je unaamini sukar ilikuwa 5000/- 2015?Yuko sahihim umri wa JPM wengi wetu ni umri wa Wazazi
Wanabodi
Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.
Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.
Paskali
Analazimisha kupewa uteuzi ni sawa na kina muro uteuzi umepita kimyaaaaHuyu jamaa huwa anajipendekeza mpaka basi. Kila kitu mpaka amseme JPM, Mara hivi Mara vile!!
Labda kama ni mzazi wakoYuko sahihim umri wa JPM wengi wetu ni umri wa Wazazi
Inahitaji ufahamu mkubwa kumwelewa Pasco...mayala njaa mbaya.... Rais hafananishwi na baba mzazi waonbe radhi wazazi!
"Waandishi HOYEEE"Mayalla maana yake ni njaa!
Kukubali na kushangilia kila kinachosemwa na wakubwa wa Lumumba ndiyo ilani ya chama chaoInategemea huyo Baba yako amekuzoesha kumdanganya kwa kiwango gani! Kumbuka sio yeye aliezitengeza hizo Takwimu! Bali kapewa na wajanja wanaojua ni kitu gani anapenda kukisikia! Sitarajii Mzee kama akibebeshwa taka tutaacha kumwambia kwa vile ni baba! Huo utakuwa unafiki wa kufa MTU!
Akili zako zimefungiwa lumumbaWewe furaha yako atajwe Mbowe mara hv mara vile?
Anawahitaji wa ndiyo mzeeTatizo Magu mwongo, au basi tuseme ni mbumbumbu wa masuala ya Uchumi...na sasa kateua Gavana wake kama alivyoteua, tutarajie KIAMA!
View attachment 619734
Mayalla analazimisha uteuzi wakati yeye si mmoja wa wateuleGood job Pasco, maswali umeyawasilisha very good. Na Zitto pia kayatendea haki
Wewe una ufahamu gani tofauti na huyo myalla?Inahitaji ufahamu mkubwa kumwelewa Pasco...
Rekebisha ya kwanza futa hii ya pili. Ni ushauri tu!Kilichokukuta*
Mkuu hiyo ni mojawapo ya kazi za waumini wa lumumba rejea tbc na habari ya Trump kumpongeza bwana mukubwaaaPaschal Mayala tukumbushe kilichokujuta pale DTV ulipopika data za uchaguzi Zanzibar miaka ileee...
Wanabodi
Nimekutana na Mhe. Zitto Kabwe katika event ya Policy Forum pale British Council last week, nimefanya nae a short interview ya maswali mawili tuu.
1. Hoja ya yeye kupika data za kiuchumi kwa nini anatofaitiana na mamlaka rasmi za taarifa za makusanyo, nani kati ya serikali na yeye ndie mkweli, au yeye ndie anapika data for political mileage?.
2. Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, rais kasema makusanyo yameongezeka, kumbishia rais ili kuonyeshea rais anasema uongo, huu sio ukosefu wa adabu, heshima na nidhamu?.
Msisikilize Zitto Kabwe mwenyewe.
Paskali
Kuhusu Lissu unataka kufanyaje kwani?Wewe na zito wako msitutoe kwenye Agenda ya Mh Lisu Mnafikili sisi hatuwajui nyie
Naona unauliza majibu sijui swali atauliza naniMtani asante sana. Umempa Mh. Zitto nafasi nzuri ya kujieleza. Na kama mwanahabari nguli hukumuingilia katika maelezo yake.
Mimi sio mwana-habari lakini najiuliza, Mh. Zitto anataka kutueleza nini hapa (what is the NEWS content)?
Serikali imetuambia kitu kimoja na yeye anatuambia kingine. Serikali inatuambia uchumi unaimarika na yeye anasema uchumi unasinyaa. These are finer points for the Economists to ponder.
Je, kutokana na mchakato wake:
☆ Serikali imeiba hela za wananch?
☆ Kuna mchezo mchafu unaofanywa na serikali kuwadhulumu wananchi?
☆ Serikali ina malengo maovu juu ya wananchi wake kutokana na matamshi yake?
☆ Na mengineyo mengi.
Kama serikali inajaribu kwa uwezo wake wote kuwahudumia wananchi wake na kuleta maslahi mema ya taifa letu, kwa nini Mh. Zitto anajaribu kuivua nguo (embarrass) hii serikali.
Kuna mengine mengi ya kujiuliza. Kama anachosema ni kweli:
* Anataka serikali ifanye nini sasa?
* Kuna kitu tofauti ambacho kingepaswa kufanyika nchini hapo nyuma kama anachosema kingejulikana awali?
* Ni kitu gani tofauti kingefanyika leo kama anachokisema Mh. Zitto kikibainika ni kweli?
Sitaki kukuingilia katika taaluma yako mtani lakini haya ndio yangekuwa maswali yangu kwa mgeni wako Mh. Zitto Kabwe.
Mbona povu Sana?Kuhusu Lissu unataka kufanyaje kwani?