KingOligarchy
Senior Member
- Sep 28, 2013
- 130
- 350
Nchini singapore ni kosa mtu kutoka bila kuvaa barakoa/ mask ! endapo hili litakiukwa mtu atalipishwa faini ya $300 na akirudia atalipishwa $1,000
Czech republic na slovakia ni nchi nyingine ambazo zimepitisha sheria ya kila mtu lazima avae barakoa ili kupambana na ugomnjwa huu wa COVID19.
Inafurahisha zaidi ambapo kwenye nchi ya czech republic kulikuwa na kampeni ya kitaifa na uhamasishaji wa watu wa kuvaa barakoa ambazo zimetengenezwa nyumbani, watu walihimizana wakatengeneza na wakagawa bure mask ili kucontrol uenezaji wa ugonjwa hii.
Czech republic ni kati ya nchi zilizopunguza kwa kiasi kikubwa ueneaji wa covid19 kwa wananchi wake na ni nchi iliyotumia njia zote wengine waliokuwa wanatumia kukiwa na mabadiliko kweye sehemu ya sheria za barakoa tu,
wanafunzi na vijana wameungana na kuteneneza barakoa nyumbani zenye asilimia 100% cotton , na kuna sehemu maalumu za kucollect hizo mask kupitia website Damerousky.cz, na manispaa mbalimbali pia hugawa mask kwenye vulnerable groups za nchi hiyo.
KUMBUKA: HIZI NI JITIHADA ZA WANANCHI KUHAKIKISHA KILA MTU ANAVAA BARAKOA/ MASK!
TANZANIA:
viongozi wetu wapitishe sheria ya Barakoa/Mask kuvaa ni LAZIMA na sio ombi! then tuanze kampeni ya nchi nzima ya kutengeneza barakoa ! wenigne wakijitolea pia kuwasaidia watu wenye kipato cha chini barakoa! polisi wahakikishe watu wanavaa barakoa/ Mask
Hakikisha na wewe unavaa barakoa kila saa kila dakika, maisha yamebadilkika Huu ni utamaduni mpya na haina budi
kuufwata,
Czech republic na slovakia ni nchi nyingine ambazo zimepitisha sheria ya kila mtu lazima avae barakoa ili kupambana na ugomnjwa huu wa COVID19.
Inafurahisha zaidi ambapo kwenye nchi ya czech republic kulikuwa na kampeni ya kitaifa na uhamasishaji wa watu wa kuvaa barakoa ambazo zimetengenezwa nyumbani, watu walihimizana wakatengeneza na wakagawa bure mask ili kucontrol uenezaji wa ugonjwa hii.
Czech republic ni kati ya nchi zilizopunguza kwa kiasi kikubwa ueneaji wa covid19 kwa wananchi wake na ni nchi iliyotumia njia zote wengine waliokuwa wanatumia kukiwa na mabadiliko kweye sehemu ya sheria za barakoa tu,
wanafunzi na vijana wameungana na kuteneneza barakoa nyumbani zenye asilimia 100% cotton , na kuna sehemu maalumu za kucollect hizo mask kupitia website Damerousky.cz, na manispaa mbalimbali pia hugawa mask kwenye vulnerable groups za nchi hiyo.
KUMBUKA: HIZI NI JITIHADA ZA WANANCHI KUHAKIKISHA KILA MTU ANAVAA BARAKOA/ MASK!
TANZANIA:
viongozi wetu wapitishe sheria ya Barakoa/Mask kuvaa ni LAZIMA na sio ombi! then tuanze kampeni ya nchi nzima ya kutengeneza barakoa ! wenigne wakijitolea pia kuwasaidia watu wenye kipato cha chini barakoa! polisi wahakikishe watu wanavaa barakoa/ Mask
Hakikisha na wewe unavaa barakoa kila saa kila dakika, maisha yamebadilkika Huu ni utamaduni mpya na haina budi
kuufwata,