Habari
Nimebadili Hard Disk katika latop yangu kisha ile niliyotoa nikaamua kuifanya External baada ya kuinunulia housing, lakini cha kushangaza imekuwa ikinizingua kwani napokopi muziki ndani yake nikienda nao kwenye pc nyingine hauplay but in mya laptop i can play it, sasa nakuwa sielewi tatizo liko wapi?
hiyo niliyotoa ni 80GB, nikaamua kuiformat yote kisha nikaanza kuweka nyimbo upya lakini still inakuwa ni vile kila wimbo naoukopi unabaki kuplay katika laptop yangu na si nyingine...kwa mwenye kujua tatizo hili tafadhali naomba anisaidie nifanyeje ili ikae sawa?
Thanx
Nimebadili Hard Disk katika latop yangu kisha ile niliyotoa nikaamua kuifanya External baada ya kuinunulia housing, lakini cha kushangaza imekuwa ikinizingua kwani napokopi muziki ndani yake nikienda nao kwenye pc nyingine hauplay but in mya laptop i can play it, sasa nakuwa sielewi tatizo liko wapi?
hiyo niliyotoa ni 80GB, nikaamua kuiformat yote kisha nikaanza kuweka nyimbo upya lakini still inakuwa ni vile kila wimbo naoukopi unabaki kuplay katika laptop yangu na si nyingine...kwa mwenye kujua tatizo hili tafadhali naomba anisaidie nifanyeje ili ikae sawa?
Thanx