Export ndzi mbichi

[PHP][/PHP]
Nilipotea kwa muda,nilikuwa porini huko kuona fursa zaidi. Ukiwa dar huwezi kujua kinachoendelea huko porini. Karibu sana tujumuike pamoja, nina project ya kuwa na shamba la migomba 5000, nimeshafika Mbingu( kuna ndizi balaa) kutafuta eneo, nimekwenda Kihansi( Bukoba inastawi balaa) pia na nimeuliza habari za Uchindile. Mgomba ukipata shamba zuri unalipa vizuri. Nitakupa habari zaidi kadiri ninavyopata ili hatimaye sote tufanikiwe.

Kama huko uliko,kuna soko la uhakika,hakuna sababu ya kusubiri sana soko la ndani. Anza na hilo la nje kama lipo vizuri.
Ubarikiwe mkuu tunakutegemea, nimekuelewa kaka wiki hii nategemea kuja dar nikifika mkuu ntakufata popote ulipo ili tupeane habari nakujuana mkuu
 
Kasopa hongera mkuu points kama hizi za maendeleo zinafaa sana sema shida moja ya watanzania tunachangia siasa zaidi kuliko mambo kama haya ya maendleo. Ukipata vitu vizuri kama hivi uwe unatujuza mkuu maana hata sisi wengine tunataka maendeleo haraka si kukaa vijiweni na kusubiri uchaguzi watupe vilemba na tshirts
 
Kawaone board of extrenal trade wana taarifa zote. Lakini sijui nchi gani maana kila nchi ina viwango vyake vya ubora.
 
Kasopa hongera mkuu points kama hizi za maendeleo zinafaa sana sema shida moja ya watanzania tunachangia siasa zaidi kuliko mambo kama haya ya maendleo. Ukipata vitu vizuri kama hivi uwe unatujuza mkuu maana hata sisi wengine tunataka maendeleo haraka si kukaa vijiweni na kusubiri uchaguzi watupe vilemba na tshirts

Asante mkuu nilizonazo ntawaletea hapa
 
Kaka hauitajia kibali,tatizo ni usafiri.gharama ya usafiri ni kubwa mmno from Dar ,ukiweza nunua ndizi bukoba-kagera then vusha uganda,wao cargo agents wanao uzoefu wa ku-export ndizi ulaya na pia bei afadhali.tz bado sana hamna cargo traffik kubwa ya ndizi
 
Asante kwa ushauri mkuu ntalifanyia kazi lakini vibali vya afya havihitajiki mkuu


newmzalendo;1257956]Kaka hauitajia kibali,tatizo ni usafiri.gharama ya usafiri ni kubwa mmno from Dar ,ukiweza nunua ndizi bukoba-kagera then vusha uganda,wao cargo agents wanao uzoefu wa ku-export ndizi ulaya na pia bei afadhali.tz bado sana hamna cargo traffik kubwa ya ndizi[/Q[/PHP]
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom