menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Wakuu,
Eneo la mikocheni Kwa sasa halikamati kabisa! Infact mikocheni Kwa sasa inajitegemea karibu kila kitu kuanzia mahospital makubwa, shopping mall kama palm village, apartments, viwanda plus media karibu zote ziko mikocheni.
Kipande hiki kidogo kwa sasa hapa Dar es Salaam ndio kila kitu.
Nawasilisha.
Eneo la mikocheni Kwa sasa halikamati kabisa! Infact mikocheni Kwa sasa inajitegemea karibu kila kitu kuanzia mahospital makubwa, shopping mall kama palm village, apartments, viwanda plus media karibu zote ziko mikocheni.
Kipande hiki kidogo kwa sasa hapa Dar es Salaam ndio kila kitu.
Nawasilisha.