exemption TRA

engjaphet

Member
Apr 6, 2011
11
1
samahani wadau naomba kuuliza hivi ili kupata exemption TRA ya magari ni lazima gari unaloombea liwe la mwaka 2002 na kuendelea, naomba msaada jamani kwani kuna utata mwingi kwa watu ninaowauliza na ni kodi gani ambazo unasamehewa naomba msaada jamani
 
samahani wadau naomba kuuliza hivi ili kupata exemption TRA ya magari ni lazima gari unaloombea liwe la mwaka 2002 na kuendelea, naomba msaada jamani kwani kuna utata mwingi kwa watu ninaowauliza na ni kodi gani ambazo unasamehewa naomba msaada jamani
Ndiyo nasikia gari lisizidi miaka kumi. Lakini kwa nini ununue gari la muda mrefu kiasi hicho kama vile wanunua trekta?
 
yes isiwe zaidi ya miaka kumi na ukiangalia valuation ya used vehincle ya sasa itakufanya hata ulipe kodi kidogo kwa kodi zile ambazo hutapatiwa exemption only if it is less than ten year
 
uwe mfanyakazi wa serikali, gari yako isizidi cc 3000, na isiwe na umri wa zaidi ya miaka 10 na kodi zinazosamehewa ni import duty na excise duty
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom