Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,460
- 155,985
Kingai, Mahita na Jumanne...hawa wameingia kwenye listi yangu ya maaduiHawa jamaa wanatesa na wanatumia mbinu za kizamani zenye maumivu ya muda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kingai, Mahita na Jumanne...hawa wameingia kwenye listi yangu ya maaduiHawa jamaa wanatesa na wanatumia mbinu za kizamani zenye maumivu ya muda mrefu
kaiba kura za nan sheikh?
kaiba kura za nan sheikh?
Unauliza au unapigia jibu mstari?
Mdude ni shujaa wa kweli, wasiomjua ndio wanaomtukana..kwenye interview yake amezungumza kwa ufasaha na staha ya hali ya juu.
..Nilichogundua ni kwamba Mdude ni kijana jasiri na yuko very smart.
Wazazi wa mdude hawakuwahi kuwa watekaji wala madikteta uchwaraMungu huwa habariki wenya kudharau na kudhihaki wazazi. Maana hata maandiko tunaambiwa waheshimu baba na mama.
Nitalisimamia hilo..Nashauri Mdude Nyagali ahojiwe na TV za kimataifa.
Niamkie wewe mtoto mdogo kwanza kabla hujachangia.Wazazi wa mdude hawakuwahi kuwa watekaji wala madikteta uchwara
Usidhihaki. Huwezi kujua, huenda kuna siku yako unasubiriwa na hayo maharamia.ule wembe kwan hana tena
Kila mtu azungumze kwa lugha yake...Kweli Mdude Chadema aliteswa sana na Magufuli na watu wake kwa kile anachoita ukosoaji.
Nilichokiona kwa Mdude hana lugha ya staha katika kukosoa huko. Maana hata aliposhinda kesi akatoa kauli ya kumnyoa Mama kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake.
Ushauri:
Kama CDM ina viongozi wenye busara, basi mpumzisheni MDUDE apate tiba ya kisaikolojia kwanza
Nadhani sababu ya unyama aliotendewaAlivyotoka akaongea matusi nilimuona wa ajabu sana kumbe ni psychological problems...
Mungu ni mwema hizo zama zilishapitawe hujui tu kauli zake zilivo mbaya, eti utamnyoa??? president na tena mwanamke? yaani nadhan hao watekaji warudi kwake tena
and this is BBC London.K
What did he expect when they were talking to him?
Kwenye siasa sometimes busara haihitajiki.... Akina Naoe wakidai hawapeleki marehemu Magogoni baada ya hapo wakazawadiwa Uwaziri. Msukuma akadai mgombea alijifanya nini Sjiui.... Akazawadiwa Ubunge.Kweli Mdude Chadema aliteswa sana na Magufuli na watu wake kwa kile anachoita ukosoaji...
Usidhihaki. Huwezi kujua, huenda kuna siku yako unasubiriwa na hayo maharamia...
Wewe ni zero ngoja tukuache tuu, hope hutakutana na hayo majambazi yakakushughulikia maana ndio utakuwa mwisho wakosisi inahusiana vp na wembe?