Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,063
- 84,998
Hii MariaSpaces ni moto wa kuotea mbali, nilikua na usingiizi ila alipoanza kuongea Mdude ambaye ni muhanga wa "utekaji" usingizi ulikata. Nitajaribu kuweka Audio kama itakubali...
Kwa kifupi ni kwamba
1. Walimpigisha shoti ya umeme kwenye chuchu na sehemu ya haja kubwa Mara kadhaa
2. Kwamba alipigwa uume wake kwa chupa ya maji. Yaani inajazwa maji halafu unapigishwa kwenye uume
3. Kwamba alimuriwa kusali sala yake ya mwisho kabla ya $kupotezwa"
4. Kwamba mashahidi wake walitishwa na hivyo kuamua kutokutoa ushahidi
5. Kwamba aliumizwa sana kwenye nyayo zake kwa vipigo
6. Mengine utasikiliza
Naiombea Tanzania, sijui watesi wa Mdude ni akina nani na sitaki kuchukua upande wowote ila Mungu atusaidie.
Kwa kifupi ni kwamba
1. Walimpigisha shoti ya umeme kwenye chuchu na sehemu ya haja kubwa Mara kadhaa
2. Kwamba alipigwa uume wake kwa chupa ya maji. Yaani inajazwa maji halafu unapigishwa kwenye uume
3. Kwamba alimuriwa kusali sala yake ya mwisho kabla ya $kupotezwa"
4. Kwamba mashahidi wake walitishwa na hivyo kuamua kutokutoa ushahidi
5. Kwamba aliumizwa sana kwenye nyayo zake kwa vipigo
6. Mengine utasikiliza
Naiombea Tanzania, sijui watesi wa Mdude ni akina nani na sitaki kuchukua upande wowote ila Mungu atusaidie.