Exclusive: Wachezaji Wawili Waandamizi wa Mtibwa Sugar FC na Dodoma Jiji FC wanithibitishia kuwa 100% Ligi Kuu ya Tanzania inanuka Rushwa

Wakati mwingine jitahidi kurekodi hayo mazungumzo yako na hao wachezaji, ili yatumike kama ushahidi. Ikiwezekana, fanya kama wafanyavyo wale waandishi wa habari za kiuchunguzi.

Ficha sura za wahusika, halafu unawarekodi. Kinyume na hapo, hakuna chombo chochote kitakacho fanyia kazi taarifa za kwenye vijiwe vya kahawa. Labda ziwe ni taarifa za hatari sana kwa usalama wa nchi.
Acha kunipotezea Muda 'Dimwit' Wewe.
 
Back
Top Bottom