* Exclusive Scoop *

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,463
39,929
Basi katika kufuatilia mambo mbalimbali kuhusiana na uundwaji wa baraza na hasa kuelewa nini kinaendelea baada ya Ripoti ya Mwakyembe kuna mambo kadhaa ambayo naweza kuwahabarisha kwa uhakika zaidi.

a. Baraza la Mawaziri litakuwa dogo huku nafasi/watu karibu 21 wakiwa nje (halitazidi wizara 25).

b. Rais anatumia hekima ya ajabu katika panga pangua ya kuliunda upya, huku mwelekeo wake ukiwa ni "kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao). Kwa hiyo kinachoundwa ni kama "dream team". Lengo lake ni kuwa ndani ya muda uliobakia baraza hili lifanye more than expected. Wakati Mkapa aliunda "kikosi cha miamvuli" JK anakuja na SEALs (Sea, Air and Land). Yaani Makomandoo wa anga zote!

c. Suala la kushirikisha vyama vya upinzani vinafanya hali iwe ngumu. Chama kimoja kimekataza wabunge wake kuingia kwenye Baraza hilo kwa madai ya kutofautiana kisera na CCM. Chama hicho kinadai kuwa kwa vile serikali iliyoko madarakani inatekeleza sera na ilani ya CCM haiwezekani wabunge wake waingie serikalini kwenda kutekeleza sera na ilani hiyo.

Hata hivyo, chama kingine cha upinzani inaonekana kimekubali angalau Unaibu.

d. Timu ya Lowassa nayo bado imejipanga kujibu mashambulizi ya Kamati ya Mwakyembe. Hadi hivi sasa madai yanayoendelea kunong'onezwa pembeni ni kuwa siyo Msabaha tu aliyetolewa ngasubilo bali Lowassa wenyewe.

Kutoka ndani sana ya mafaili ya serikali kuna barua ambayo inaonesha kuwa EL alitaka kusitisha mkataba wa RDC na aliandika barua kwa mkuu wake kuonesha nia hiyo, hata hivyo alikataliwa na akaamua kuendelea nao. Uwepo wa barua hiyo kama ni kweli au la ni suala la mjadala.

Hata hivyo hilo linakumbusha "barua ya Meghji" ambaye baada ya kugundua tatizo kule EPA siyo tu aligeuka kinyume nyume bali pia aliamuru uchunguzi ufanyike ambao matokeo yake tunayakumbuka.

Hivyo, utetezi huu wa Lowassa unaweza kuwa vigumu kwa Lowassa kwamba baada ya kugundua tatizo la RDC ni hatua gani za kiuchunguzi alizochukua ili kuonesha kuwa kampuni hii haikuwa na ukweli wowote? Kama uchunguzi wake ungeonesha kuwa kampuni hii haikuwepo basi mkataba usingekuwepo na serikali isingepata adhabu yoyote ile!

Wachunguzi wengine wanamtonya wenu mtiifu, kuwa kama EL aligundua kuwa kuna tatizo na ushauri wake kwa mkuu haukufuata na hivyo utaliingiza taifa kwenye matatizo kwanini hakujiuzulu wakati ule? EL alikuwa na uwezo wa kujiuzulu baada ya kukataliwa mapendekezo yake kuhusu RDC (assuming yalikuwepo). Kitendo cha yeye kukubali na kuendelea kuna negate jitihada zote ambazo alizifanya kimya kimya.

e. Kuna dalili kuwa baadhi ya watu walioatajwa kwenye ripoti kuwa walizungumza "nje ya kiapo" kuwa walimuimplicate Waziri Mkuu wameanza kukana hata kukumbuka kuota maneno hayo. Balozi Kazaura ameandika barua leo jioni kwa Katibu wa Bunge akitaka ripoti ya Mwakyembe ifanyiwe masahihisho akikana categorically kuwa hakusema jambo lolote ndani au nje ya kiapo kumhusisha Lowasa na Richmond. Wengine nao wanatarajia kufanya hivyo.

f. Majina ya Baraza la Mawaziri bado yanaendelea kufanywa siri hadi yatakapotangazwa hewani, na kuna dalili endapo jina lolote linavuja basi jina hilo linatolewa. Hivyo, hata sisi wengine tulio na bahati ya kuwa nzi kwenye kuta zao tunashindwa kupenyeza lolote tusije kukesha tena!! So, hata tungetaka kuwanong'oneza hatuwezi!!

Wote tusubiri TVs!!
 
MKJJ,

....unakumbuka information zilizopotea kule BRELA??!!!............unakumbuka Mwakapugi ambavyo hakutaka baadhi ya docs zisionwe??!!

......mimi wala sishangai hizo taarifa zako.....za watu kutaka Ku-fabricate utetezi.............na ugomvi wanaotaka kuuanzisha wee subiri tuone game linavyoenda.........wakati huo huo tuendelee kumkoma Nyani giladi kwa kwenda mbele!!!!
 
You don't jump on to a sinking ship. Zitto should be smarter than that.

CCM haizami mapaka tuwe na strong opposition...kumbuka Zambia MMD ilimtoa Kaunda...lakini bongo tuna vyama elfu na hakuna chama upinzani ambacho kina hata policy different na za CCM
 
Mwanakjj naona nawe umetekwa na propaganda za CCM za kuwa eti wanataka upinzani uingie Bungeni...Nilishampa Invisible kuwa CCM hawana MUDA huo...
Kiufupi CCM au JK hana hilo ktk kichwa chake. Kama CCM wangalikuwa wana Mapenzi na Nchi Hii basi sehem pekee ya kuonesha kukomaa kisiasa wangeanza Zanzibar, ambapo kisiwa kizima hawakupata KITI. Bara CCM wana watu wengi, sema tu wamejipanga ktk makundi ya aina fulan fulani...

Mambo mengine uloyagusa yanajadilika...keep it up
 
Majina yako tayari kesho JK akichelewa hadi saa nne na nusu basi atayakuta mtaani na itabidi akae upya kufanya kazi ya kuwapata wengine .Lakini ni kweli JK anawachukua wapinzani ili wakafanye kazi kwa sera ya Chama gani ?
 
Basi katika kufuatilia mambo mbalimbali kuhusiana na uundwaji wa baraza na hasa kuelewa nini kinaendelea baada ya Ripoti ya Mwakyembe kuna mambo kadhaa ambayo naweza kuwahabarisha kwa uhakika zaidi.

a. Baraza la Mawaziri litakuwa dogo huku nafasi/watu karibu 21 wakiwa nje (halitazidi wizara 25).

b. Rais anatumia hekima ya ajabu katika panga pangua ya kuliunda upya, huku mwelekeo wake ukiwa ni "kurejesha imani ya wananchi kwa serikali yao). Kwa hiyo kinachoundwa ni kama "dream team". Lengo lake ni kuwa ndani ya muda uliobakia baraza hili lifanye more than expected. Wakati Mkapa aliunda "kikosi cha miamvuli" JK anakuja na SEALs (Sea, Air and Land). Yaani Makomandoo wa anga zote!

c. Suala la kushirikisha vyama vya upinzani vinafanya hali iwe ngumu. Chama kimoja kimekataza wabunge wake kuingia kwenye Baraza hilo kwa madai ya kutofautiana kisera na CCM. Chama hicho kinadai kuwa kwa vile serikali iliyoko madarakani inatekeleza sera na ilani ya CCM haiwezekani wabunge wake waingie serikalini kwenda kutekeleza sera na ilani hiyo.

Hata hivyo, chama kingine cha upinzani inaonekana kimekubali angalau Unaibu.

d. Timu ya Lowassa nayo bado imejipanga kujibu mashambulizi ya Kamati ya Mwakyembe. Hadi hivi sasa madai yanayoendelea kunong'onezwa pembeni ni kuwa siyo Msabaha tu aliyetolewa ngasubilo bali Lowassa wenyewe.

Kutoka ndani sana ya mafaili ya serikali kuna barua ambayo inaonesha kuwa EL alitaka kusitisha mkataba wa RDC na aliandika barua kwa mkuu wake kuonesha nia hiyo, hata hivyo alikataliwa na akaamua kuendelea nao. Uwepo wa barua hiyo kama ni kweli au la ni suala la mjadala.

Hata hivyo hilo linakumbusha "barua ya Meghji" ambaye baada ya kugundua tatizo kule EPA siyo tu aligeuka kinyume nyume bali pia aliamuru uchunguzi ufanyike ambao matokeo yake tunayakumbuka.

Hivyo, utetezi huu wa Lowassa unaweza kuwa vigumu kwa Lowassa kwamba baada ya kugundua tatizo la RDC ni hatua gani za kiuchunguzi alizochukua ili kuonesha kuwa kampuni hii haikuwa na ukweli wowote? Kama uchunguzi wake ungeonesha kuwa kampuni hii haikuwepo basi mkataba usingekuwepo na serikali isingepata adhabu yoyote ile!

Wachunguzi wengine wanamtonya wenu mtiifu, kuwa kama EL aligundua kuwa kuna tatizo na ushauri wake kwa mkuu haukufuata na hivyo utaliingiza taifa kwenye matatizo kwanini hakujiuzulu wakati ule? EL alikuwa na uwezo wa kujiuzulu baada ya kukataliwa mapendekezo yake kuhusu RDC (assuming yalikuwepo). Kitendo cha yeye kukubali na kuendelea kuna negate jitihada zote ambazo alizifanya kimya kimya.

e. Kuna dalili kuwa baadhi ya watu walioatajwa kwenye ripoti kuwa walizungumza "nje ya kiapo" kuwa walimuimplicate Waziri Mkuu wameanza kukana hata kukumbuka kuota maneno hayo. Balozi Kazaura ameandika barua leo jioni kwa Katibu wa Bunge akitaka ripoti ya Mwakyembe ifanyiwe masahihisho akikana categorically kuwa hakusema jambo lolote ndani au nje ya kiapo kumhusisha Lowasa na Richmond. Wengine nao wanatarajia kufanya hivyo.

f. Majina ya Baraza la Mawaziri bado yanaendelea kufanywa siri hadi yatakapotangazwa hewani, na kuna dalili endapo jina lolote linavuja basi jina hilo linatolewa. Hivyo, hata sisi wengine tulio na bahati ya kuwa nzi kwenye kuta zao tunashindwa kupenyeza lolote tusije kukesha tena!! So, hata tungetaka kuwanong'oneza hatuwezi!!

Wote tusubiri TVs!!

\Kulikuwa na audio recording ya mahojiano?
 
vyanzo vyangu vilivyokuwepo eneo la nyumba ya Waziri Mkuu pale Dodoma vikiruga angani kwa kutumia ungo! vinasema kuna mtu alionekana ambaye ni Afisa wa Usalama wa Taifa mstaafu akiongoza mambo ya kuhamisha vitu vya mzee..

Lakini vingine vilivyoko chamwino vinaonesha kuna aina fulani ya mgawanyiko ndani ya TISS. Kuna wale ambao wanajua sana kuhusu BoT, kuna wale waliowatii upande wa JK na ambao baada ya kufanya uchunguzi wao waliona hakuna jinsi isipokuwa kuhakikisha kuwa EL anatolewa na kuna wale waliokuwa katika alignment na Apson... Hapa kuna matatizo. Habari nyingine ni nyeti sana kwa sasa tusubiri yatakayojiri kesho lakini sakata hili Bungeni halijafikia mwisho na kama nilivyosema mwanzoni, subirini mtaona watu wanatiwa pingu, hasa wale waliosema uongo mbele ya Kamati!
 
\Kulikuwa na audio recording ya mahojiano?

Nadhani hilo sijalijua lakini mtu kama Mwakyembe nina uhakika atakuwa na "backup" plan... kwa sababu kama walidhania wanazungumza nje ya kiapo na wakasema waliyosema... wasijikute yanawarudia.
 
Lowassa anamuanzishia JK?

Mimi nilisema haya mambo ya ushahidi nje ya kiapo noma.
 
vyanzo vyangu vilivyokuwepo eneo la nyumba ya Waziri Mkuu pale Dodoma vikiruga angani kwa kutumia ungo! vinasema kuna mtu alionekana ambaye ni Afisa wa Usalama wa Taifa mstaafu akiongoza mambo ya kuhamisha vitu vya mzee..

Lakini vingine vilivyoko chamwino vinaonesha kuna aina fulani ya mgawanyiko ndani ya TISS. Kuna wale ambao wanajua sana kuhusu BoT, kuna wale waliowatii upande wa JK na ambao baada ya kufanya uchunguzi wao waliona hakuna jinsi isipokuwa kuhakikisha kuwa EL anatolewa na kuna wale waliokuwa katika alignment na Apson... Hapa kuna matatizo. Habari nyingine ni nyeti sana kwa sasa tusubiri yatakayojiri kesho lakini sakata hili Bungeni halijafikia mwisho na kama nilivyosema mwanzoni, subirini mtaona watu wanatiwa pingu, hasa wale waliosema uongo mbele ya Kamati!


Mzee wa Bangusilo atakuwa kasema uongo au hao juniors wake?
 
vyanzo vyangu vilivyokuwepo eneo la nyumba ya Waziri Mkuu pale Dodoma vikiruga angani kwa kutumia ungo! vinasema kuna mtu alionekana ambaye ni Afisa wa Usalama wa Taifa mstaafu akiongoza mambo ya kuhamisha vitu vya mzee..

Lakini vingine vilivyoko chamwino vinaonesha kuna aina fulani ya mgawanyiko ndani ya TISS. Kuna wale ambao wanajua sana kuhusu BoT, kuna wale waliowatii upande wa JK na ambao baada ya kufanya uchunguzi wao waliona hakuna jinsi isipokuwa kuhakikisha kuwa EL anatolewa na kuna wale waliokuwa katika alignment na Apson... Hapa kuna matatizo. Habari nyingine ni nyeti sana kwa sasa tusubiri yatakayojiri kesho lakini sakata hili Bungeni halijafikia mwisho na kama nilivyosema mwanzoni, subirini mtaona watu wanatiwa pingu, hasa wale waliosema uongo mbele ya Kamati!

katika Intellijensia yeyote Ulimwenguni..............hapo ndio mazagazaga yanakoanzia........

MKJJ
....umetuambia wale wa JK walihakikisha EL anaondokakwa hiyo wale walio ktk line ya EL uelekeo wao ukoje........... na hao walio katika alignment ya Apson uelekeo wao ukoje??...............
 
vyanzo vyangu vilivyokuwepo eneo la nyumba ya Waziri Mkuu pale Dodoma vikiruga angani kwa kutumia ungo! vinasema kuna mtu alionekana ambaye ni Afisa wa Usalama wa Taifa mstaafu akiongoza mambo ya kuhamisha vitu vya mzee..

Lakini vingine vilivyoko chamwino vinaonesha kuna aina fulani ya mgawanyiko ndani ya TISS. Kuna wale ambao wanajua sana kuhusu BoT, kuna wale waliowatii upande wa JK na ambao baada ya kufanya uchunguzi wao waliona hakuna jinsi isipokuwa kuhakikisha kuwa EL anatolewa na kuna wale waliokuwa katika alignment na Apson... Hapa kuna matatizo. Habari nyingine ni nyeti sana kwa sasa tusubiri yatakayojiri kesho lakini sakata hili Bungeni halijafikia mwisho na kama nilivyosema mwanzoni, subirini mtaona watu wanatiwa pingu, hasa wale waliosema uongo mbele ya Kamati!

Hapo Mwanakiji umetumia lugha ya mafumbo mno hadi inakuwa vigumu kujumlisha 2 na 2.Nilivyokuelewa ni kwamba kuna makundi matatu ndani ya usalama wa taifa,
  1. watii wa jk
  2. walio katika alignment na apson
  3. kuna wale waliokuwa wanajua sana kuhusu BOT
Je usalama wa taifa wa kweli uko wapi kati ya makundi hayo ie professionalism vs maslahi ya kikundi/binafsi?
Tom Apson ni swahiba wa JK,and for that matter,terms za JK na Apson zinatarajiwa kuwa sio hostile (hasa baada ya Mwandosya kukubali yaishe).If so,je watii wa jk ndio haohao waliokuwa kwenye alignment na Apson?
 
Hapo Mwanakiji umetumia lugha ya mafumbo mno hadi inakuwa vigumu kujumlisha 2 na 2.Nilivyokuelewa ni kwamba kuna makundi matatu ndani ya usalama wa taifa,
  1. watii wa jk
  2. walio katika alignment na apson
  3. kuna wale waliokuwa wanajua sana kuhusu BOT
Je usalama wa taifa wa kweli uko wapi kati ya makundi hayo ie professionalism vs maslahi ya kikundi/binafsi?
Tom Apson ni swahiba wa JK,and for that matter,terms za JK na Apson zinatarajiwa kuwa sio hostile (hasa baada ya Mwandosya kukubali yaishe).If so,je watii wa jk ndio haohao waliokuwa kwenye alignment na Apson?

labda niweke na mimi nilivyoelewa, walio na alignment na Apson wako upande wa EL na ndio wameandaa mkakati wa kujibu mashambulizi dhidi ya Kamati. hawa wana mobilize watu waliodaiwa kusema "hiki" kwenye Kamati ili wajitokeze na kusema hakusema "kile". Lengo ni kuidiscredit Kamati!!

Hivyo ziko pande mbili siyo tatu kama implication yangu iliyokuwapo. Ila wanakuja kutoka angle hizo tatu...

Jingine ni kuwa wale watakaoachwa wana usongo na Mwakyembe kwani hawakujua Waziri Mkuu kujiuzulu maana yake na wenyewe wanapoteza kazi. Wengi sasa hivi wanasema kama wangejua hilo ndilo lingetokea wangebadili mkakati!! Tukisema watu wasome Katiba wanadhani tunawatania!!
 
Kadri mambo yanavyokwenda,nadhani JK na EL watageuka kuwa maadui kama paka na panya.Wahenga walisema USHIRIKA WA WACHAWI HAUDUMU
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom