zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
Mkuu si ujibu hoja kwanini unapotosha kuwa museveni anakubalika kuliko besigye unatumia basis gani kusema hayo?? Ilihali general tinyefunzs alidefect baada ya kumwaga mboga jinsi walivyoiba kura chaguzi 2 mfululizo za besigye!!! Hata msemaji wa Ikulu tamale mirundi alimwaga mboga kuhusu wizi wa kura na alikimbia nchi kabla ya uchaguziNilitaka nishangae manake Zitto Senior mwenyewe ana akili kubwa kuliko hizo nyepesi za Kwako.
Sasa tukuamini wewe au generali sejjusa??