Exclusive pic: Diamond ndani ya mjengo na wanae

Mwanaume unaweza ukawa na Wanawake wengi / lukuki ila pia ua yupo mmoja ambaye ndiye ameshikilia ' Nyota ' yako ya Kimafanikio. Hapa wala huhitaji kupepesa macho, kutikisa masikio wala kumung'unya maneno kwamba Mwanamke pekee anayeshikilia vyema ' Nyota ' ya Kung'aa ya Diamond Platinum ni Zari pekee na hao wengine anaokuwa nao ni ' Wafifisha ' nyota yake tu watupu!

Mimi mpaka leo nina mwaka wa 17 sasa sijapa bahati ya kuwa na Mwanamke mwenye ' Nyota ' kali ya Kunifanikishia maisha yangu sana sana wengi ninaowapata naona ' Nyota ' zao Kwangu ni kunifanya niugue tu Malaria mara kwa mara utadhani hawa Mbu nawaumba au nawahifadhi Mimi Chumbani mwangu / kwangu.

Halafu tuacheni ' Unafiki ' Diamond anapendeza sana akiwa na Zari kuliko na hawa ' Visokolokwinyo ' wa Kitanzania.


Umeongea ukweli....nafikiri Diamond na wafimilia yake walishagundua hili na ndiyo maana Mama Diamond alimtimua Hamisa ili kuondoa nuksi kwenye uko wao. Mwanamke si sura tu, kuna mengi wana carry ila wanaume hawajuwi tu na moja kati ya hizo ni laana ama mikosi. Diamond alikuwa na Wema mbona alikoma, alifirisiwa mpaka jamaa akaona bora aondoke na hirizi iliyokuwa inatumiwa kumfunga pamoja na picha zikatupwa jalalani kwa hasira. Amuache tu Hamisa auze mkaa wake na lile genge huenda atapata wake.
 
Mwanaume unaweza ukawa na Wanawake wengi / lukuki ila pia ua yupo mmoja ambaye ndiye ameshikilia ' Nyota ' yako ya Kimafanikio. Hapa wala huhitaji kupepesa macho, kutikisa masikio wala kumung'unya maneno kwamba Mwanamke pekee anayeshikilia vyema ' Nyota ' ya Kung'aa ya Diamond Platinum ni Zari pekee na hao wengine anaokuwa nao ni ' Wafifisha ' nyota yake tu watupu!

Mimi mpaka leo nina mwaka wa 17 sasa sijapa bahati ya kuwa na Mwanamke mwenye ' Nyota ' kali ya Kunifanikishia maisha yangu sana sana wengi ninaowapata naona ' Nyota ' zao Kwangu ni kunifanya niugue tu Malaria mara kwa mara utadhani hawa Mbu nawaumba au nawahifadhi Mimi Chumbani mwangu / kwangu.

Halafu tuacheni ' Unafiki ' Diamond anapendeza sana akiwa na Zari kuliko na hawa ' Visokolokwinyo ' wa Kitanzania.

mond kaangalia wapi ilipo fursa hamna mambo ya kupelekana mahakaman kwa ajili ya matunzo ya wakina tiffah.
 
Ni kweli hawajarudiana bali wanalea ila sie watanzania tushazoea watu wakiachana basi ni bifu mwanzo mwisho

unafikir akiomba mech atakataliwa? kitendo cha kuingia ndani na kufurahiwa na watoto tayar kuna kitu huongeza rohon kwa mzaz
 
Hivi kutembelea watoto kwa mzazi mwenzio ndio kurudiana?kwa hii mentality ndio maana tunawaponda na tunaogopa kuoa single mothers humu maana baba mtoto akimuona mwanae tunaamini wamerudiana;au wenyewe wametangaza kurudiana?
Mkuu Diamond alipigwa pini tangu waachane na mzazi mwenzie hakuwahi kuongea na watoto wala kuwatembelea. Juhudi za kuwasuruhisha ndizo zimesaidia hata ameweza kwenda kuwaona watoto. Lakini kingine post ya Zari kumshukuru hadharani Diamond kwa zawadi inaonyesha ni jinsi gani mambo yanazidi kuwa manzuri.

IMG_20180607_083424.jpg
 
Watanzania nao watanzania wapendezaaa wapendezaaa in hayati komba's voice
unafikir akiomba mech atakataliwa? kitendo cha kuingia ndani na kufurahiwa na watoto tayar kuna kitu huongeza rohon kwa mzaz
 
Ningepanda kutumia nafasi hii kutuma salaam kwa watu watatu, kwanza kwa mke wangu mpenzi Mama Gaude a.k.a Mama G, nakusnakushuru sana, japo ulevi umenizidi mpaka navua nguo hadharani lakini we uniachi. Pili kwa Mama Rhoda au Hi. Kibonge kama wanavyokuita. Asante sana kwa kutudunga vyombo vya bei rahisi. Bila wewe tusingepata stimu maana bei ya bia hatuwezi kuimudu.
Tatu na mwisho kabisa ni kwa Mheshimiwa sana, Rais Dr. John Pombe Kagame Magufuli a.k.a Pogba. Tunaomba upunguze kidogo, maana vimekaza sana mpaka tumechoka kutembea kwa miguu sasa tunatambaa. Tumetubu baba, fanya mpango uweke grisi kidogo. Ni hayo tu.
 
Ningepanda kutumia nafasi hii kutuma salaam kwa watu watatu, kwanza kwa mke wangu mpenzi Mama Gaude a.k.a Mama G, nakusnakushuru sana, japo ulevi umenizidi mpaka navua nguo hadharani lakini we uniachi. Pili kwa Mama Rhoda au Hi. Kibonge kama wanavyokuita. Asante sana kwa kutudunga vyombo vya bei rahisi. Bila wewe tusingepata stimu maana bei ya bia hatuwezi kuimudu.
Tatu na mwisho kabisa ni kwa Mheshimiwa sana, Rais Dr. John Pombe Kagame Magufuli a.k.a Pogba. Tunaomba upunguze kidogo, maana vimekaza sana mpaka tumechoka kutembea kwa miguu sasa tunatambaa. Tumetubu baba, fanya mpango uweke grisi kidogo. Ni hayo tu.
Hmm!!
Mbona mapema ivi mkuu hii ni nguvu ya Don't Nyati
 
Ningepanda kutumia nafasi hii kutuma salaam kwa watu watatu, kwanza kwa mke wangu mpenzi Mama Gaude a.k.a Mama G, nakusnakushuru sana, japo ulevi umenizidi mpaka navua nguo hadharani lakini we uniachi. Pili kwa Mama Rhoda au Hi. Kibonge kama wanavyokuita. Asante sana kwa kutudunga vyombo vya bei rahisi. Bila wewe tusingepata stimu maana bei ya bia hatuwezi kuimudu.
Tatu na mwisho kabisa ni kwa Mheshimiwa sana, Rais Dr. John Pombe Kagame Magufuli a.k.a Pogba. Tunaomba upunguze kidogo, maana vimekaza sana mpaka tumechoka kutembea kwa miguu sasa tunatambaa. Tumetubu baba, fanya mpango uweke grisi kidogo. Ni hayo tu.
o_O o_O o_O o_O :oops: :oops: :oops: :oops:
 
Hivi kutembelea watoto kwa mzazi mwenzio ndio kurudiana?kwa hii mentality ndio maana tunawaponda na tunaogopa kuoa single mothers humu maana baba mtoto akimuona mwanae tunaamini wamerudiana;au wenyewe wametangaza kurudiana?
hehehe mtalaka haachwi
 
Aiseee nimecheka sana,pole mkuu kwa kufuga mbu!
Mwanaume unaweza ukawa na Wanawake wengi / lukuki ila pia huwa yupo mmoja ambaye ndiye ameshikilia ' Nyota ' yako ya Kimafanikio. Hapa wala huhitaji kupepesa macho, kutikisa masikio wala kumung'unya maneno kwamba Mwanamke pekee anayeshikilia vyema ' Nyota ' ya Kung'aa ya Diamond Platinum ni Zari pekee na hao wengine anaokuwa nao ni ' Wafifisha ' nyota yake tu watupu!

Mimi mpaka leo nina mwaka wa 17 sasa sijapa bahati ya kuwa na Mwanamke mwenye ' Nyota ' kali ya Kunifanikishia maisha yangu sana sana wengi ninaowapata naona ' Nyota ' zao Kwangu ni kunifanya niugue tu Malaria mara kwa mara utadhani hawa Mbu nawaumba au nawahifadhi Mimi Chumbani mwangu / kwangu.

Halafu tuacheni ' Unafiki ' Diamond anapendeza sana akiwa na Zari kuliko na hawa ' Visokolokwinyo ' wa Kitanzania.
 
Back
Top Bottom