Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye miradi mingi kumefanyika siri kubwa. Na hili lazma lilieleweke wazi kuwa wananchi ambao ndy wenye pesa lazma serikali yetu ikaweke wazi mikataba hii na mikataba yenye maslahi Duni kwa Taifa itawekwa wazi ili chombo cha wananchi ambacho ni bunge kitathomin kitoe maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa Letu.Mhe. Lissu umekuwa ukionyesha mojawapo ya madhaifu ya serikali ya awamu ya 5 ni kuweka kipaumbele katika maendeleo ya vitu baadala ya watu, na umekuwa ukiongelea miradi mbali mbali ambayo imeshaanzwa kutekelezwa na serikali hiyo. Je kama ukipata Urais hiyo miradi utaifuta ? au kutakuwa na muendelezo wa miradi hiyo kutokana na gharama tulizokwisha ingia kama walipa kodi na nchi kiujumla ?