Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,736
- 14,632
Tofauti kati ya polisi na Green guard ni moja tu ukiacha uniforms,polisi wanabeba silaha na kuzitumia hadharani wakati GG wanabeba silaha nna kuzitumia kwa kificho.
Usicheze na second wife .... Almaarufu mke mdgo ana nguvu sana mkuu wangu gentamycine ...
Pyruvate will never be acetyl coA unless under the effect of nadph2
Its when we get energy under hanslet kreb cycle
Mwenye akili ameelewa pyruvate ni nan na naph2 ni nan na atp znazotumika ni zipi ....
Triphosphate sirAdenosine triphosaphate? Or at standard condition of temperature and pressure?
Sijawahi kushindwa kukuelewa, na siku zote aijutii kukufahamu. You are always not only straight but indeed "erect"!Kwasababu za Kimaadili na Kulinda Usalama na Uhai wake sitoweza kumtaja ila leo niliamua tu Kujikita kutaka kujua zaidi Katiba ya Nchi inasemaje hasa juu ya Majukumu ya Askari wa Jeshi la Polisi hasa Kiutendaji ndipo nikaamua kumfuata huyu Bingwa wa Sheria ( Legal Guru ) ili anichambulie.
Yaani kabla hata sijaenda mbali nilipoanza tu Kugusia swala la Askari wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam juzi Kujivinjari / Kuserebuka vile hadharani tena wakiwa na Sare ( Uniforms ) zao huyu Mzee ( Nguli wa Sheria ) aliniambia bila kuzunguka kwamba kwa Katiba ya nchi wale Polisi hivi sasa walipashwa / walitakiwa wawe Jela wote.
Alinipiga swali moja tu ambalo Mimi Ngumbaru ( Layman ) niliyetukuka GENTAMYCINE nilibaki nabung'aa / nashangaa tu hata sikujua kumjibu ambapo aliniuliza namnukuu...." Kijana hivi Kazi za Kipolisi ni za Kuteuliwa au ni Ajira rasmi? Yule waliyekuwa wakishangilia nae ameajiriwa katika ile nafasi au ameteuliwa? Ingekuwa ni nchi zingine kile Kitendo kilichofanyika lingekuwa ni Doa moja Kubwa sana katika Mhimili wa Executive na nawashangaa sana hawa Wanasheria wetu tuliowakabidhi mikoba baada ya Sisi Wazee wao Kustaafu wamenyamaza na Kuuachia Upuuzi huu upite hivi hivi ".
Jamani nisiwaficheni Mimi GENTAMYCINE na mambo ya Kisheria ni mbalimbali na kuanzia jana nimekoma kwenda Kuwahoji ' Legal Gurus ' na sijui ni Kiherehere gani kilinikumba nikamgusia huyu Mzee hili jambo hatimaye na Yeye sasa kuanza Kutiririka na Kuserereka ' Kisheria ' kabisa hali ambayo muda wote ilinifanya sasa nitulie ili darasa liniingie vizuri.
Najua hata hapa JamiiForums kuna ' Legal Gurus ' wengi sana tena ' waliotukuka ' kabisa hivyo hebu na Wao basi nawaomba wajitokeza Kunifundisha Mimi Ngumbaru ( Layman ) wa Masuala haya ya Sheria na Katiba ili nijue nina haki ya kweli ya Kuwashutumu wale Polisi au badala yake kumbe nina haki ya Kuwapongeza kwa Kitendo kile.
Shikamoo ' Legal Guru ' Mstaafu!
Nawasilisha.
hahaaa " ngoja na mimi nitoe heshima kwa malkia ". SHIKAMOO MALKIAMalkia alimwambia Nyerere "Huna wasomi, huwezi kuongoza nchi" akabisha!!
Phd zote feki!
Madaktari wanapasua vichwa badala ya miguu,
Wasimamizi wa uchaguzi wanamtangaza aliyeshindwa kuwa ndio ameahinda!!
Anayechukiwa ndio anatangazwa kuwa eti anapendwa sanaaa!!
SHIKAMOO MALKIA WA WAINGLISH
hahaa " yaani wale wanaonekana kabisaaa wamehongwaKwa hiyo hawa wanaoshangilia Sifuri huku wamelibeba wewe ndiyo unaona pouwa tu.
wote tunaucheza au sioKila mtu anaenda na mdundo sasa hivi....
Synthesis of fructose-1,6-bisphosphate (Fru-1,6-P2) by phosphofructo-1-kinase (PFK) consumes a second ATP and is the committed step for glycolysis.Usicheze na second wife .... Almaarufu mke mdgo ana nguvu sana mkuu wangu gentamycine ...
Pyruvate will never be acetyl coA unless under the effect of nadph2
Its when we get energy under hanslet kreb cycle
Mwenye akili ameelewa pyruvate ni nan na naph2 ni nan na atp znazotumika ni zipi ....
Mbna umeruka step nying mkuu .AhahahaSynthesis of fructose-1,6-bisphosphate (Fru-1,6-P2) by phosphofructo-1-kinase (PFK) consumes a second ATP and is the committed step for glycolysis.
Kumbe maadili yake ya kazi yanamruhusu?Kwa mujibu wa sheria na maadili yuko sawa, Ila kwa mujibu wa udikteta amekosea mnoo
wote tunaucheza au sio
Rejea kauli ya RPC Mambosasa aliyotoa kuhusu mshindi kama ilivyosikia kwenye taarifa ya habari ya ITV.Kwasababu za Kimaadili na Kulinda Usalama na Uhai wake sitoweza kumtaja ila leo niliamua tu Kujikita kutaka kujua zaidi Katiba ya Nchi inasemaje hasa juu ya Majukumu ya Askari wa Jeshi la Polisi hasa Kiutendaji ndipo nikaamua kumfuata huyu Bingwa wa Sheria ( Legal Guru ) ili anichambulie.
Yaani kabla hata sijaenda mbali nilipoanza tu Kugusia swala la Askari wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam juzi Kujivinjari / Kuserebuka vile hadharani tena wakiwa na Sare ( Uniforms ) zao huyu Mzee ( Nguli wa Sheria ) aliniambia bila kuzunguka kwamba kwa Katiba ya nchi wale Polisi hivi sasa walipashwa / walitakiwa wawe Jela wote.
Alinipiga swali moja tu ambalo Mimi Ngumbaru ( Layman ) niliyetukuka GENTAMYCINE nilibaki nabung'aa / nashangaa tu hata sikujua kumjibu ambapo aliniuliza namnukuu...." Kijana hivi Kazi za Kipolisi ni za Kuteuliwa au ni Ajira rasmi? Yule waliyekuwa wakishangilia nae ameajiriwa katika ile nafasi au ameteuliwa? Ingekuwa ni nchi zingine kile Kitendo kilichofanyika lingekuwa ni Doa moja Kubwa sana katika Mhimili wa Executive na nawashangaa sana hawa Wanasheria wetu tuliowakabidhi mikoba baada ya Sisi Wazee wao Kustaafu wamenyamaza na Kuuachia Upuuzi huu upite hivi hivi ".
Jamani nisiwaficheni Mimi GENTAMYCINE na mambo ya Kisheria ni mbalimbali na kuanzia jana nimekoma kwenda Kuwahoji ' Legal Gurus ' na sijui ni Kiherehere gani kilinikumba nikamgusia huyu Mzee hili jambo hatimaye na Yeye sasa kuanza Kutiririka na Kuserereka ' Kisheria ' kabisa hali ambayo muda wote ilinifanya sasa nitulie ili darasa liniingie vizuri.
Najua hata hapa JamiiForums kuna ' Legal Gurus ' wengi sana tena ' waliotukuka ' kabisa hivyo hebu na Wao basi nawaomba wajitokeza Kunifundisha Mimi Ngumbaru ( Layman ) wa Masuala haya ya Sheria na Katiba ili nijue nina haki ya kweli ya Kuwashutumu wale Polisi au badala yake kumbe nina haki ya Kuwapongeza kwa Kitendo kile.
Shikamoo ' Legal Guru ' Mstaafu!
Nawasilisha.
Sijawahi kushindwa kukuelewa, na siku zote aijutii kukufahamu. You are always not only straight but indeed "erect"!