Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
i am sure unafikiri kwa kutumia masaburi, otherwiz usingeandika comment kama hii.
Kwa hiyo huko Bilila-Serengeti ndo kuna jimbo la JK?
As a president anatakiwa awe biga kwa biga na ishu ya mafuriko, sio kwenda kupumzika! Afterall, anapumzika amefanya nini? Au baada ya kufanya uteuzi wa kitaira wa mabalozi pamoja na NEC?
jamani huyu game theory 1 ndo yule yule game theory wa siku zote au????????
Mkuu,
naona umesahau Tz hakuna rais kuna vasco da gama
Msafara wa JK ulionekana juzi Arusha. Bilila ni eneo lake la mapumziko.
Nina uhakika wa zaidi ya asilimia zote unazojua wewe JK alikuwa bilila na ameondole leo, kwa taarifa yako amekatisha hata hii vacation yake, mwenye kutaka kuhakikisha apige simu Kiwanja kidogo cha ndege Seronera ataambiwa JK alikuwa wapi na akifanya nini, kwa kitendo alichokifanya hata sioni haya kusema mwanamke wake wa mbeya tumempokea sisi na kumpeleka bilila,
mnaobisha endeleeni kubisha kwa sababu zenu mzijuazo ninyi....
Game Theory kama hili ni kweli, tunatakiwa kumueleza kila mwananchi kuwa nchi haina Rais