Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Tunaomba mdahalo wa Lowassa na Magufuli ufanyike CITIZEN...

Mkuu Ocampo hapo umenena kama wanahitaji interview iendeshwe na BBC, ALjazira or CNN kuliko TBCCM, STARCCM,CLOUDCCM.

Hatuna imani na waendeshaji wa interview bongo fullstop!!!!!!!!!!!!
 
wengine hatuhitaji hata aongee kabisa hata akipunga mkono tu na kuondoka inatosha maana kama sera tushasikia sana miaka na miaka lakini yako wapi sisi tunataka mtendaji na mleta mabadiliko.

lowasa atosha sana.
karibu.

Kweli hawa fisiem wana kutu kwenye mabongo yao,hawaelewi,hata urudie jibu marangapi.sisi hatuhitaji edo kuongea, yaani tumwone tuuu toshaa,edo wetu.
 


Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!

Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!

Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!

Hamna jipya nyie MAFISIEMU...U wrote nothing but a pointless accompanied with rubbish OF YOUR MIND ITSELF!,yani hujui ata mtu akiwa anaongea kimombo kwa pozi...ana behave vipi?,binafsi nina jamaa wengi tu nikiongea nao kimombo ndivyo wanavyofanya maana KIKUBWA MASIKIO NDO YANASIKIA HAPO SIO MACHO...HIVYO VINGINE(kama hiyo eye-contact) ni mbwembwe tu na hicho alichofanya LOWASSA hapo...tunaita ni KUJIAMINI NA ANACHOONGEA KWAMBA HABAATISHI,TATIZO LAKO WEWE UNAISHI KWA #MAZOEA.
 
Katumia Dk tatu na hakuna cha maana alichoongea
Anders hili nalo unamlaumu lowassa au mtangazaji ? Lowassa kajibu aliyoulizwa ulitaka aanze kuropoka vitu ambayo hakuulizwa?

Inafika kipindi hata kama tunalinda maslahi yetu inabidi tuache akili zetu zifanye kazi yake .
 
Last edited by a moderator:
Sio huyo jamaa wa chato yeye naye ameanza kuwa MC wa matamasha anawaambia watu wa Geita piga keleeeeeeeeeeeeee. Yaani leo nimeshangaa sana kumwona mtu anayetaka uraisi anabehave childish. Yaani hana uhalisia wowote kwa kuwa anaomba kura. Yaani ameambukizwa usanii na huyu hatufai kabisa. Tumkatae na ameanza kupandikiza hisia za kukosekana kwa amani nchini ikiwa ENL atachaguliwa kuingia madarakani. Yaani nimemshusha hadhi yake kabisa. Ni ovyooooo kabisa mtu na PHD yake anashindwa kunadi sera unaishia kutishia watu na kupandikiza chuki. Nasema tena ovyo kabisa, tumkatae JPM ni mbaguzi, mchochezi na visasi kwani kasema mkitaka niwasikie matatizo yenu watu wa Geita mumchague mbunge wa CCM.
 
Ningekuwa Lowasa kujibu lile swali la usingekatwa kwenye chama chako ungekuwa unayasema unayoyasema sasa?
Ningejibu hivi "Kila anayeamua kufanya jambo fulani huwa na maono yake binafsi,maono yangu yalikuwa kubadilisha hali ya uchumi na maisha ya watanzania kwa ujumla.Hivyo ili kufanikisha maonoyangu niliishapanga watu ambao ni makini lakini hawapewi nafasi kuonyesha uwezo wao wa kiutendaji,hawa ningewapa uwezo wa kufanya maamuzi kisheria,lakini wenzangu walihofia hilo wakakata jina langu ili nisiuvunje mfumo uliopo,nalazimika kuyasema ninayoyasema sababu hawawaambii watanzania ukweli bali wanaishia kunichafua badala ya kusema ukweli"

Huu ni mtizamo wangu,lakini nampongeza EL,kwa uwezo wake wa
kujieleza na hii ndo dawa kama vyombo vya habari ndani ya nchi vina mizengwe
tumieni vyombo vya nje,achana na story za midahalo haina tija
watu wanaposema duniani kote watu wanafanya hivyo
sisi siyo duniani kote,sisi ni Tanzania,mbona nchi tunazotaka kuziiga kufanya
midahalo hatuziigi mbinu zao za kukuza uchumi na kukomesha rushwa?

Sisi ni nchi ya kipekee,yenye muungano wa nchi mbili ukazaa nchi moja yenye serikali mbili na marais wawili.
Ni nchi pekee yenye amani lakini wenzetu albino wanaishi kwa hofu kuu.
Ni nchi pekee ambapo raia wa maisha ya chini huadhibiwa
kwa sababu ya makosa ya wafanyabiashara wasiowaaminifu kama njia ya kuwadhibiti
wafanya biashara hao, refer bei ya mafuta ya taa kupanda bei.
 
kuongea mwisho dakika 3 mpaka kesho tena.


Huyu mgombea anaonekana kweli ana tatizo kiafya. Ajabu ni kwamba nadhani bado hilo siyo pingamizi kuchaguliwa. Hata Kenya walipomchagua Mwai Kibaki alikuwa mgonjwa sana na aliwahi kusema kama kuna mtu ulaya ana shida yeye ni mgonjwa hawezi kusafiri so wamfuate Kenya! Nadhani wote mnaona what Mwai had done to Kenyans
 
I liked the way He is responding, PRECISE to the point. No goimg around the questions.
 
hao wakenya wanajisumbua kwani hatuchagui rais wa kenya si ajabu kwa tabia yake ya kifisadi keshaingia nao mikataba ya kifisadi
 
Wewe jamaa mbea sana,unaonekana hata huko kitaa uko hivihivi ndio maana wale jamaa walikupiga mapanga.Bahati yako ulihama tungeshasema R.I.P zamani!
R.I.P Hatawewe tunaweza kukupa muda wowote, kuugua hata mbuzi anaugua Lowassa yeye nani asisemwe! kuhama alikudanganya nani anahama kwake kirahisi! sijapanga nipo kwangu kuhama never na wote walio fanya upuzi ule 3kati 4 tumesha wapa R.I.P Twende kazi nifah "Anae muunga mkono Lowassa Akapimwe akili"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom