mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,468
- 36,839
Hawajui hiyo ni 1metre deep concrete, wanaona cement tu wanadhani ni kama ile inayowekwa sebuleni.Pesa ya kujenga BRT siyo kidogo ila pesa ya kuchora BRT ndiyo kidogo. Hivi mnajua barabara ya BRT nitofauti na lami za kawaida! Life span yake ni miaka zaidi ya 50, inawekwa heavy concrete. Hiyo Thika road life span yake ni 15 to 20 years. Wakenya hamjui chochote kuhusu BRT mna bwabwaja tu, karibuni Dar mjifunze. Mnajifanya mnaiga ya Bogota baada ya kuja Dar na kuona ya Dar ni maji marefu.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app