Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Tayari tuna wabunge wana JF i.e Dr. Slaa, Zitto.
Siongelei wabunge wa sasa, wala ambao wamekuwa members wa JF baada ya kuwa wabunge, naongelea mwanachama wa JF wa sasa hivi ambaye si mbunge aende kuwa mbunge.