Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Watu waliokuwa kwenye msiba walimshangaa mama aliyefiwa na mmewe,wakamwuliza,mama mbona we humlilii mme wako,watu wanalia we macho makavu sana,mama akawajibu....nye acheni tu,nikiaanza kulia hapatakalika hapa,wakamwambia basi we lia kidogo kuonyesha unaombeleza.Mama akaanza kulia '''uwwwwiiiiiii mme wangu,umeniacha,nakumbuka jinsi ulivyokuwa unanifikisha tukiwa kwenye game,unanifanya kila style mpaka naridhika,hakuna mwanaume anayeweza kunitosheleza zaidi yako,....uwwiiiiiiii,jamaniiiii.sasa nani atanipa tena utamu,nani ataninyonya,uwwwiiiiii'''''watu wa kwenye msimba wakaanza kulalamika.........''ahaaaaa we mama mambo gani ya kutiana ny*ge kwenye msiba''!