Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,601
Upo njema😅Ah weeeeeeh mi wananiachaga na mengine ila sio kupika.
Upo njema😅Ah weeeeeeh mi wananiachaga na mengine ila sio kupika.
Yaaaani niko vizuri.Upo njema😅
Unafeli wapi sasa 😅 yani mwanamke mrefu, mrembo, kupika unajua ila unaachwa ~ in Muroto voiceYaaaani niko vizuri.
Sema ndo Mungu hakupi vyote, wanapikiwa vizur kabisa ila sasa?
Hehehhehehhehehe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuachwa siachwi ila, Mungu baba anajua hizo vurugu zake.Unafeli wapi sasa 😅 yani mwanamke mrefu, mrembo, kupika unajua ila unaachwa ~ in Muroto voice
Heheheh sasa unafanya vurugu tena 😅 halafu unategemea usikimbiwe! Mapenzi sio uwanja wa vita 😅 utulivu ni kiungo muhimu alaah! Kaa kwa pattern acha ligi😅 hata mie naona umekuwa sikuhizi!Kuachwa siachwi ila, Mungu baba anajua hizo vurugu zake.
Ila nimezeeka now, niache ukorofi.
Niwe mdada sijui mmama mtulivu, si eti?
Ngoja nirudie manual ya mke mwema.Heheheh sasa unafanya vurugu tena 😅 halafu unategemea usikimbiwe! Mapenzi sio uwanja wa vita 😅
Unaonaekana ni Salama j wa mwendokasi😅Ngoja nirudie manual ya mke mwema.
Niache na kunywa konyagi.
Niache kuvaa kaptura na raba nianze kuvaa tight na magauni.
Nianze na kurembua nikiongea, mana sio kwa jicho kavu hili.
Kama nanawia siki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo yupo kwenye campaign ndugu ukishampa jimbo ndo utajua nia yake halisi.Mm ni kijana nilikuwa ktk mahusiano na binti mmoja, ila kutokana na tabia zake nikaamua kumuacha, ila yeye hataki kusikia hilo neno la kuachana na yupo tayari niwe na mwanamke mwingine ila yeye nisimuache, na sasa hv analazimisha nikutane naye ili nimpe mimba azae na mimi.
Nitumie njia gani ili anisahau kabisa
Kwamba nimekuwa wife material?Heheheh sasa unafanya vurugu tena 😅 halafu unategemea usikimbiwe! Mapenzi sio uwanja wa vita 😅 utulivu ni kiungo muhimu alaah! Kaa kwa pattern acha ligi😅 hata mie naona umekuwa sikuhizi!
Unajitahidi kidogo kuwa wife material ongeza bidiiKwamba nimekuwa wife material?
Wacha nijitahidi tahidiUnajitahidi kidogo kuwa wife material ongeza bidii
HahaaaAchana na hii mambo utanyooka nakwambia atakwambia atalea mwenyewe mtoto ila ukweli utalea mtoto na mama ake,
Nina Ma Ex 3 kila mmoja anasema ana mimba wawili kama 7 mwingine 3, wamesema wanazaa, sasa nina mpango nikimbie mjini nirudi kijijini tuuu nikapumzike hata mwaka kwanza naona jiji chungu
Sio anataka kukushikisha mimba?Mm ni kijana nilikuwa ktk mahusiano na binti mmoja, ila kutokana na tabia zake nikaamua kumuacha, ila yeye hataki kusikia hilo neno la kuachana na yupo tayari niwe na mwanamke mwingine ila yeye nisimuache, na sasa hv analazimisha nikutane naye ili nimpe mimba azae na mimi.
Nitumie njia gani ili anisahau kabisa
😂😂😂😂Hahahah ule wa Megawatt 2700 kama wa stieglers gorge 😂😂😂 yani akigusa tu miezi mitatu mingi anayooka kama muwa