kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 831
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna ex wangu nimeachana nae ni kama miezi 8 sasa tulitofautiana ila hatukufuta mawasiliano ila uwa hatuwasiliani sema yeye uwa anakomenti sana status zangu sasa jana nikamuweka demu wangu mpya status nashangaa amekomenti eti ww unadhani napata wivu hapana mimi sina wivu na ww nimepata kazi now maisha safi
Nikamwambia ongera kwa kupata kazi lakni hiyo kazi yako hainihusu mimi na mimi sipo hapa kwaajili ya kukutambia kuhusu huyu demu wangu mpya ni shombe shombe wa kiarabu mtoto mzuri kuliko yeye ndio maana kapaniki ila mademu buana halafu cha ajabu ni kwamba naona kila nikiweka status anazifuatilia mno tena mda mwingine ananipiga majungu
Wakuu huyu ex vp maana simuelewi mienendo yake yaani kama bado hajamove on vizuri
Nikamwambia ongera kwa kupata kazi lakni hiyo kazi yako hainihusu mimi na mimi sipo hapa kwaajili ya kukutambia kuhusu huyu demu wangu mpya ni shombe shombe wa kiarabu mtoto mzuri kuliko yeye ndio maana kapaniki ila mademu buana halafu cha ajabu ni kwamba naona kila nikiweka status anazifuatilia mno tena mda mwingine ananipiga majungu
Wakuu huyu ex vp maana simuelewi mienendo yake yaani kama bado hajamove on vizuri