Lakini mkuu tuvumilie tu....Vumilieni tu, hata sisi tunapata tabu na post zenu humu, kwa mfano hii thread kama mngekua mmeshapangiwa shule thread kama hizi tusingeziona
Hahahaaa mkuu ulitaka nikusifie wewe! The man is blessed enough sitaacha kumsifia iwe leo iwe kesho, awe namimi asiwe namimi nitamsifia kama wewe ni mwanaume kwake ukasome mkuu huingii hata robo!