Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,841
- 20,687
- Thread starter
- #41
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.Hata panadol kuna watu si salama kwao...upotoshaji umezidi