#COVID19 Ex-Vice President wa Pfizer, Profesa Mike Yeadon: Chanjo za COVID- 19 si salama

Hata panadol kuna watu si salama kwao...upotoshaji umezidi
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hawatasema lazima,ila wakisema usifanye hivi au usienda hapa bila kuchanjwa si lazima tayari.Tayari wafanyakazi wa East Africa Seed Company wameshaambiwa bila evidence kwamba wechanjwa ofisi za kampuni ni out of bounds👇.
See this👇

View attachment 1875325
hiyo ndio dhuluma kubwa kabisa inayofanywa ulimwenguni kote, kumfanya mtu mnyonge kwa sababu ya ajira.tutachanjwa kwakua tutakuwa tumeporwa uhuru wetu wakujiamulia. Ila kwa ridhaa yetu wengi tusinge chanjwa.
 
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanet.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Watz wa ajabu sana. Hatujaweza kutengeneza panadol yetu tunaongelea mambo ya DNA, cjui genome .... nyambaff kabisa.

Saivi kila mtu ashinde mechi zake. Anaetaka KUCHANJWA na aende kuchanjwa na asietaka Aaachwe, hii nchi guru hakuna haja ya kulazimishana bandugu.
 
hiyo ndio dhuluma kubwa kabisa inayofanywa ulimwenguni kote, kumfanya mtu mnyonge kwa sababu ya ajira.tutachanjwa kwakua tutakuwa tumeporwa uhuru wetu wakujiamulia. Ila kwa ridhaa yetu wengi tusinge chanjwa.
Nakuonya mapema mkuu,ni bora ukakosa ajira,kuliko kuishi maisha ya mateso,tena mafupi yasiyozidi miaka mitatu.Waliochanjwa sasa wanajuta kuzaliwa.

Ona watu wanavyoteseka,na hakuna msaada!Usiombe.👇


You will be very stupid to fall into this👇 group,please say no to the C-19 so called vaccine.

👩‍👩‍👦‍👦👇👩‍👩‍👦‍👦👇👩‍👩‍👦‍👦👇​

Tens of Thousands of COVID-19 “Vaccine” Injured in the U.S. Begging for Help as the Medical Community Turns Their Back on Them.​

Private group on Facebook “Covid19 Vaccine Victims & Families” group.​

48,635 members as of July 21.21
3 min video – injured people identify the vaxx company and their US location.
What will you do if presented with medical bills after treating adverse covid vaxx effects that can range up to $1 million? There’s no way most people can pay these outrageous bills Tens of Thousands of COVID-19 “Vaccine” Injured in the U.S. Begging for Help as the Medical Community Turns Their Back on Them

Note: check with your insurance provider to see if you will be covered for any after injection adverse effects ..
Coup-vid injured facing $million medical bills.
Founder Robert Kennedy Jr. of Children’s Health Defense – The Defender – reports on 2 June 2021 about a 38-year-old woman, who nearly died after a J&J covid-vaccine. She suffered various organ failures. The woman was healthy until she received the J&J untested covid “vaccine”. Within a week, she started experiencing headaches, abdominal pain and nausea and was eventually diagnosed with severe blood clots that caused most of her vital organs to fail. Only intense medical treatment, 33 days of hospitalization, of which 22 days of intensive care, saved her life – and left her with a medical bill of over a US$ 1 million – for which nobody admits responsibility. See here. Source Covid: Threats, Vaccine Injuries and Deaths Abound | Dissident Voice
High school senior Emma Burkeyreceived the one-shot Johnson & Johnson (J&J) COVID vaccine April 1. Within two weeks she was placed in an induced coma. She underwent three brain surgeries after experiencing seizures and developing blood clots in her brain.
When Burkey was well enough to be transferred from the hospital to a rehabilitation center, her first round of bills totaled $513,000.
Hundreds Injured by COVID Vaccines Turn to GoFundMe for Help With Expenses
Injured by a COVID Vaccine? Want Financial Compensation? Too Bad, Says Injury Compensation Law Firm
This entry was posted in Uncategorized. Bookmark the
 
Watz wa ajabu sana. Hatujaweza kutengeneza panadol yetu tunaongelea mambo ya DNA, cjui genome .... nyambaff kabisa.

Saivi kila mtu ashinde mechi zake. Anaetaka KUCHANJWA na aende kuchanjwa na asietaka Aaachwe, hii nchi guru hakuna haja ya kulazimishana bandugu.
Yote uliyo andika ni ya mtu asiyejitambua,pole sana.
 
Umeandika upumbavu tu umetummwa na gwajima


USSR
Bahati mbaya uzi huu utadumu milele humu.
Kwa sababu akili za wenye hii forum ni sawa na akili za waliouanzisha huu ugonjwa. Nyuzi zote ambazo ni against chanjo na corona zinafutwa. Yaani kukataa chanjo inaonekana ni ujinga au kuwa Magufuli ndo ametupa hizo akili Mawazo ya kukubali chanjo yanachochewa pia na Mainstream media, ni ujinga Kuamini kila kitu kutoka kwenye TV, lengo la Tv ni kuandika programu kwenye ubongo wetu na wamefanikiwa sana kwa kuwa dunia nzima wanavaa barakoa na kupokea chanjo.
Watu tusiokuwa na sehemu ya kusemea hili janga tukiandika humu tunapigwa ban.
Binadamu tunatetea agenda inayotupeleka kwenye kuunda dunia ya Kidikteta.Tukiamka tutakuwa tumeisha chelewa
 
Profesa Mike Yeadon amekuwa katika biashara za kutengeneza chanjo maisha yake yote, na wakati anastaafu alikuwa ni Makamu wa Rais wa Kampuni ya Pfizer, moja ya makampuni mashuhuri yanayotengeneza chanjo ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na chanjo za Uviko-19.

Kwa hiyo Mwanasayansi aliyebobea kama yeye anaposema: ".. Chanjo za Uviko-19 si salama," basi huyu awe ni mtu wa kusikilizwa kwa juhudi zote, kwa sababu kauli yake ni kweli,kauli yake haina chembechembe za ubinafsi, kauli yake inajitegemea kwa asilimia mia moja. Wakati hawa madaktari wengine, (ambao wengi wao wapo kwenye makwapa ya makapuni makubwa ya madawa, hawa siyo tu ni wa kupuuzwa,bali wawe ni wa kutazamwa kwa macho mawili, kwa sababu wanahatarisha uhuru na usalama wa nchi na wananchi wa Tanzania.

Profesa Mike Yeadan hayupo peke yake. Timu ya uchunguzi ya madaktari huko Uingereza hivi karibuni imeishauri serikali ya nchi hiyo kusitisha mradi wa chanjo za Uviko-19 mara moja kwa sababu si salama.

Bingwa mwingine kwenye utengenezaji wa hizi chanjo na ambaye pia kakiri kuwa chanjo za Uviko-19 si salama ni Dr. Geert Vanden Bossche.

Mtaalamu mwingine, Dr. Hall, akiongea mbele ya Senate Committee on State Affairs huko Marekani alisema hivi:
"Mwaka 1976 chanjo za "swine flu" watu takribani milioni 45 walichanjwa. Kati ya hao watu 53 (hamsini na tatu) walikufa kutokana hizo chanjo. Matokeo yalikuwa ni chanjo hiyo kupigwa marufuku mara moja kwa hoja ya kuwa zilikuwa hatarishi,yaani si salama.
Wakati katika muhula wa miezi minne tu, Desemba 2020 hadi Aprili 23, Chanjo za Uviko-19 zimesababisha vifo vya watu
3,362,yaani wastani wa watu 30 kila siku, na bado Ulimwengu umekaa kimya kabisa. Nini kinafichwa hapa?"

World Doctors Alliance, umoja unaokusanya maelfu ya madaktari kutoka kila kona ya dunia nao umetamka bila kigugumizi kuwa chanjo za uviko-19 si salama.

Chanjo hizi zinasambazwa kwa kutumia kitu kinachoitwa Emergency Authorization. (idhini ya dharura) Hii ni kukwepa uwajibikaji, kwani hii ndio njia pekee wanaweza kisheria kutumia ile "caveat" ya kukataa kuwajibika. Nchi ikishatoa "Approval" basi hili la kutowajibika haliwezi ku-'apply' tena. Ndiyo sababu hakuna nchi hata moja hadi sasa ambayo imetoa approval, mataifa yanakwepa kuwajibika.

Jambo lingine la kulizingatia ni kwamba Mabeberu wa nje na ndani, wanasambaza chanjo za Uviko-19 kwa kutumia silaha kuu tatu: Ulaghai, Vitisho na Rushwa.
Hivyo basi, watu wote wanaoshabikia chanjo hizi watakuwa wame-'fall victim to one of these three weapons.'

Kwenye hili sakata la chanjo za Uviko-19, swali lingine la msingi ambalo bado linalilia jibu ni hili: Dawa zilizothibitika kuponya huu ugonjwa zipo, kama Hydroxychloroquine, Ivermectin, Covidal, Nyungu, ile ya Madagascar nk nk nk. Kwa nini dawa hizi zote zimezimwa, badala yake zinasambazwa chanjo zisizoponya, zisizoweza kuzuia kuambukiza au kuambukizwa na ambazo ni sumu? Kwa nini?

mkali@live.co.uk.
30/07/2021.


Clips zinazo comfirm ubaya wa chanjo za Uviko -19.
Marekani walitoa msaada wa chanjo kwa SA, ilipofika na kuanza kuitumia, wakaona madhara wakaisusa. USA wakaona isiwe shida, peleka Tanzania. Kumbuka hii chanjo ilitengenezwa kukabili virus wa awamu ya kwanza, sasa tupo na wa awamu ya 3, Delta force? Lakini tunapigiwa muziki kuaminishwa ni bora kwa mambo yote. Ama kweli siku ya kiama, baada ya shetani kuingia motoni, atakaefuatia ni mwana siasa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Marekani walitoa msaada wa chanjo kwa SA, ilipofika na kuanza kuitumia, wakaona madhara wakaisusa. USA wakaona isiwe shida, peleka Tanzania. Kumbuka hii chanjo ilitengenezwa kukabili virus wa awamu ya kwanza, sasa tupo na wa awamu ya 3, Delta force? Lakini tunapigiwa muziki kuaminishwa ni bora kwa mambo yote. Ama kweli siku ya kiama, baada ya shetani kuingia motoni, atakaefuatia ni mwana siasa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu hata hizo variants ni utapeli tu mbona?
 
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanet.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Acha hizo.............................
Wapi umeasoma inabadili DNA. weka ushahidi
Wewe ni msomi kuliko mamilioni ya wataalam waliochanjwa? weka ushahidi wa ujuzi wako.
Kwahiyo baada ya miaka mitatu watu zaidi ya milioni mia mbili watakufa? Thibitisha hapa.

Acha hizo.............................
 
Acha hizo.............................
Wapi umeasoma inabadili DNA. weka ushahidi
Wewe ni msomi kuliko mamilioni ya wataalam waliochanjwa? weka ushahidi wa ujuzi wako.
Kwahiyo baada ya miaka mitatu watu zaidi ya milioni mia mbili watakufa? Thibitisha hapa.

Acha hizo.............................
Yaani ninyi mapoyoyo kweli kweli.Unajua walichochanjwa?Anywat,nimefanya utafiti wa kina kuhusu C-19,ninapo ongea naongea with authority,sibahatishi na mimi mwenyewe nimebobea kwenye Virology.Kwa hapa JF nime-present sehemu ya scientific information niliyo fanyia research kwenye lugha rahisi kwa ajili ya kila mtu,na taarifa hizo zinapatikana hapa.👇.Soma with an open mind,utapata all the information you need about C-19.



 
Bahati mbaya uzi huu utadumu milele humu.
Kwa sababu akili za wenye hii forum ni sawa na akili za waliouanzisha huu ugonjwa. Nyuzi zote ambazo ni against chanjo na corona zinafutwa. Yaani kukataa chanjo inaonekana ni ujinga au kuwa Magufuli ndo ametupa hizo akili Mawazo ya kukubali chanjo yanachochewa pia na Mainstream media, ni ujinga Kuamini kila kitu kutoka kwenye TV, lengo la Tv ni kuandika programu kwenye ubongo wetu na wamefanikiwa sana kwa kuwa dunia nzima wanavaa barakoa na kupokea chanjo.
Watu tusiokuwa na sehemu ya kusemea hili janga tukiandika humu tunapigwa ban.
Binadamu tunatetea agenda inayotupeleka kwenye kuunda dunia ya Kidikteta.Tukiamka tutakuwa tumeisha chelewa
Hii JAMIIFORUMS nilishaishtukia kitambo!!

Wamekuwa vinara wa kuchochea hofu ya CORONA na kujaza watu propaganda.

Hii forum ni ya kuitizama kwa makini sana, sio ya kawaida.
 
Hii JAMIIFORUMS nilishaishtukia kitambo!!

Wamekuwa vinara wa kuchochea hofu ya CORONA na kujaza watu propaganda.

Hii forum ni ya kuitizama kwa makini sana, sio ya kawaida.
Una haki ya kuistukia mkuu.JF CIA wame-deploy jeshi la siri,ofcourse operatives hawa wapo pia kwenye taasisi zingine za siasa,serikali,NGOs,Private companies nk.Kazi yao ni moja tu,ku-advance agendas za Marekani na NWO cabal kwa kutumia tools mbali mbali,kama kuleta hofu.Fuata link ifuatayo uone jeshi hili.




 
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.

Life span haizidi 3 years !!!! How did you get to that conclusion, Sir ?

However, Argument zako ni valid .

Kimsingi chanjo ilitakiwa ifikie maabara na sio kwenye miili yetu.

Unfortunately Tanzania hatuna maabara za kufanya trials za vaccine ambazo ni modification genetics viruses. Ni SA na Egypty tu ndiyo wanahizo maabara.

So the long and short term effective zitakuwa studied kupitia miili yetu pamoja na post vaccination effects, and yes, some people will leave the lesson behind in the process of making

Kinachonisikitisha zaidi ni hii chanjo aina ya Jansen ambayo, wanasiasa wetu wameamua ku misslead umma huku wao wakichoma chanjo zenye afadhali kwa kuagiza aina nyingine ya chanjo pamoja na kwenda kuchomea huko nje ya nchi

Kama unaamini Rais na watendaji wake walichomwa chanjo ya Jansen....... akili kichwani mwako. I am Out
 
Rais Joe Biden wa Marekani amewaagiza viongozi wa majimbo nchini humo kuwalipa dola 100 kila mtu atakayefika kuchanjwa. Najiuliza,what is behind all these? Kwanini wanasiasa wanapigia debe hizi chanjo?
Mfano Tz chanjo zimefikia kwenye miili,nani kazifanyia hata kautafiti kidogo? Je,tuna wataalamu wa chanjo?
Kimewatokea nini viongozi wetu wa afya waliokua wanapinga chanjo mpaka kujenga mashine ya kufukiza pale Muhimbili?
Habari za uhakika ni kwamba watu zaidi ya elfu tatu wameshafariki kwa hizi chanjo.
BINAFSI SICHANJI MPAKA 2026,LABDA NIFE.
 
Back
Top Bottom