#COVID19 Ex-Vice President wa Pfizer, Profesa Mike Yeadon: Chanjo za COVID- 19 si salama

Rais Joe Biden wa Marekani amewaagiza viongozi wa majimbo nchini humo kuwalipa dola 100 kila mtu atakayefika kuchanjwa. Najiuliza,what is behind all these? Kwanini wanasiasa wanapigia debe hizi chanjo?
Mfano Tz chanjo zimefikia kwenye miili,nani kazifanyia hata kautafiti kidogo? Je,tuna wataalamu wa chanjo?
Kimewatokea nini viongozi wetu wa afya waliokua wanapinga chanjo mpaka kujenga mashine ya kufukiza pale Muhimbili?
Habari za uhakika ni kwamba watu zaidi ya elfu tatu wameshafariki kwa hizi chanjo.
BINAFSI SICHANJI MPAKA 2026,LABDA NIFE.
Naunga mkono hoja sichanjwi
 
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Ningependa kujua taaluma yako kama hutojali lakini.
 
Profesa Mike Yeadon(clip ya mwisho) amekuwa katika biashara za kutengeneza chanjo maisha yake yote, na wakati anastaafu alikuwa ni Makamu wa Rais wa Kampuni ya Pfizer, moja ya makampuni mashuhuri yanayotengeneza chanjo ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na chanjo za Uviko-19.

Kwa hiyo Mwanasayansi aliyebobea kama yeye anaposema: ".. Chanjo za Uviko-19 si salama," basi huyu awe ni mtu wa kusikilizwa kwa juhudi zote, kwa sababu kauli yake ni kweli,kauli yake haina chembechembe za ubinafsi, kauli yake inajitegemea kwa asilimia mia moja. Wakati hawa madaktari wengine, (ambao wengi wao wapo kwenye makwapa ya makapuni makubwa ya madawa, hawa siyo tu ni wa kupuuzwa,bali wawe ni wa kutazamwa kwa macho mawili, kwa sababu wanahatarisha uhuru na usalama wa nchi na wananchi wa Tanzania.

Profesa Mike Yeadan hayupo peke yake. Timu ya uchunguzi ya madaktari huko Uingereza hivi karibuni imeishauri serikali ya nchi hiyo kusitisha mradi wa chanjo za Uviko-19 mara moja kwa sababu si salama.

Bingwa mwingine kwenye utengenezaji wa hizi chanjo na ambaye pia kakiri kuwa chanjo za Uviko-19 si salama ni Dr. Geert Vanden Bossche.

Mtaalamu mwingine, Dr. Hall, akiongea mbele ya Senate Committee on State Affairs huko Marekani alisema hivi:
"Mwaka 1976 chanjo za "swine flu" watu takribani milioni 45 walichanjwa. Kati ya hao watu 53 (hamsini na tatu) walikufa kutokana hizo chanjo. Matokeo yalikuwa ni chanjo hiyo kupigwa marufuku mara moja kwa hoja ya kuwa zilikuwa hatarishi,yaani si salama.
Wakati katika muhula wa miezi minne tu, Desemba 2020 hadi Aprili 23, Chanjo za Uviko-19 zimesababisha vifo vya watu
3,362,yaani wastani wa watu 30 kila siku, na bado Ulimwengu umekaa kimya kabisa. Nini kinafichwa hapa?"

World Doctors Alliance, umoja unaokusanya maelfu ya madaktari kutoka kila kona ya dunia nao umetamka bila kigugumizi kuwa chanjo za uviko-19 si salama.

Chanjo hizi zinasambazwa kwa kutumia kitu kinachoitwa Emergency Authorization. (idhini ya dharura) Hii ni kukwepa uwajibikaji, kwani hii ndio njia pekee wanaweza kisheria kutumia ile "caveat" ya kukataa kuwajibika. Nchi ikishatoa "Approval" basi hili la kutowajibika haliwezi ku-'apply' tena. Ndiyo sababu hakuna nchi hata moja hadi sasa ambayo imetoa approval, mataifa yanakwepa kuwajibika.

Jambo lingine la kulizingatia ni kwamba Mabeberu wa nje na ndani, wanasambaza chanjo za Uviko-19 kwa kutumia silaha kuu tatu: Ulaghai, Vitisho na Rushwa.
Hivyo basi, watu wote wanaoshabikia chanjo hizi watakuwa wame-'fall victim to one of these three weapons.'

Kwenye hili sakata la chanjo za Uviko-19, swali lingine la msingi ambalo bado linalilia jibu ni hili: Dawa zilizothibitika kuponya huu ugonjwa zipo, kama Hydroxychloroquine, Ivermectin, Covidal, Nyungu, ile ya Madagascar nk nk nk. Kwa nini dawa hizi zote zimezimwa, badala yake zinasambazwa chanjo zisizoponya, zisizoweza kuzuia kuambukiza au kuambukizwa na ambazo ni sumu? Kwa nini?



Clips zinazo comfirm ubaya wa chanjo za Uviko -19.
Upuuzi mtupu
 
Profesa Mike Yeadon(clip ya mwisho) amekuwa katika biashara za kutengeneza chanjo maisha yake yote, na wakati anastaafu alikuwa ni Makamu wa Rais wa Kampuni ya Pfizer, moja ya makampuni mashuhuri yanayotengeneza chanjo ulimwenguni, ikiwa ni pamoja na chanjo za Uviko-19.

Kwa hiyo Mwanasayansi aliyebobea kama yeye anaposema: ".. Chanjo za Uviko-19 si salama," basi huyu awe ni mtu wa kusikilizwa kwa juhudi zote, kwa sababu kauli yake ni kweli,kauli yake haina chembechembe za ubinafsi, kauli yake inajitegemea kwa asilimia mia moja. Wakati hawa madaktari wengine, (ambao wengi wao wapo kwenye makwapa ya makapuni makubwa ya madawa, hawa siyo tu ni wa kupuuzwa,bali wawe ni wa kutazamwa kwa macho mawili, kwa sababu wanahatarisha uhuru na usalama wa nchi na wananchi wa Tanzania.

Profesa Mike Yeadan hayupo peke yake. Timu ya uchunguzi ya madaktari huko Uingereza hivi karibuni imeishauri serikali ya nchi hiyo kusitisha mradi wa chanjo za Uviko-19 mara moja kwa sababu si salama.

Bingwa mwingine kwenye utengenezaji wa hizi chanjo na ambaye pia kakiri kuwa chanjo za Uviko-19 si salama ni Dr. Geert Vanden Bossche.

Mtaalamu mwingine, Dr. Hall, akiongea mbele ya Senate Committee on State Affairs huko Marekani alisema hivi:
"Mwaka 1976 chanjo za "swine flu" watu takribani milioni 45 walichanjwa. Kati ya hao watu 53 (hamsini na tatu) walikufa kutokana hizo chanjo. Matokeo yalikuwa ni chanjo hiyo kupigwa marufuku mara moja kwa hoja ya kuwa zilikuwa hatarishi,yaani si salama.
Wakati katika muhula wa miezi minne tu, Desemba 2020 hadi Aprili 23, Chanjo za Uviko-19 zimesababisha vifo vya watu
3,362,yaani wastani wa watu 30 kila siku, na bado Ulimwengu umekaa kimya kabisa. Nini kinafichwa hapa?"

World Doctors Alliance, umoja unaokusanya maelfu ya madaktari kutoka kila kona ya dunia nao umetamka bila kigugumizi kuwa chanjo za uviko-19 si salama.

Chanjo hizi zinasambazwa kwa kutumia kitu kinachoitwa Emergency Authorization. (idhini ya dharura) Hii ni kukwepa uwajibikaji, kwani hii ndio njia pekee wanaweza kisheria kutumia ile "caveat" ya kukataa kuwajibika. Nchi ikishatoa "Approval" basi hili la kutowajibika haliwezi ku-'apply' tena. Ndiyo sababu hakuna nchi hata moja hadi sasa ambayo imetoa approval, mataifa yanakwepa kuwajibika.

Jambo lingine la kulizingatia ni kwamba Mabeberu wa nje na ndani, wanasambaza chanjo za Uviko-19 kwa kutumia silaha kuu tatu: Ulaghai, Vitisho na Rushwa.
Hivyo basi, watu wote wanaoshabikia chanjo hizi watakuwa wame-'fall victim to one of these three weapons.'

Kwenye hili sakata la chanjo za Uviko-19, swali lingine la msingi ambalo bado linalilia jibu ni hili: Dawa zilizothibitika kuponya huu ugonjwa zipo, kama Hydroxychloroquine, Ivermectin, Covidal, Nyungu, ile ya Madagascar nk nk nk. Kwa nini dawa hizi zote zimezimwa, badala yake zinasambazwa chanjo zisizoponya, zisizoweza kuzuia kuambukiza au kuambukizwa na ambazo ni sumu? Kwa nini?



Clips zinazo comfirm ubaya wa chanjo za Uviko -19.
Bandiko lako nimeridharau baada ya kutumia neno beberu.
 
Life span haizidi 3 years !!!! How did you get to that conclusion, Sir ?

However, Argument zako ni valid .

Kimsingi chanjo ilitakiwa ifikie maabara na sio kwenye miili yetu.

Unfortunately Tanzania hatuna maabara za kufanya trials za vaccine ambazo ni modification genetics viruses. Ni SA na Egypty tu ndiyo wanahizo maabara.

So the long and short term effective zitakuwa studied kupitia miili yetu pamoja na post vaccination effects, and yes, some people will leave the lesson behind in the process of making

Kinachonisikitisha zaidi ni hii chanjo aina ya Jansen ambayo, wanasiasa wetu wameamua ku misslead umma huku wao wakichoma chanjo zenye afadhali kwa kuagiza aina nyingine ya chanjo pamoja na kwenda kuchomea huko nje ya nchi

Kama unaamini Rais na watendaji wake walichomwa chanjo ya Jansen....... akili kichwani mwako. I am Out

Mike Yeadon ame-provide taarifa nyingi sana so far.Na hii ya kwamba mtu aliyechanjwa hawezi kuishi zaidi ya miaka mitatu,nimeipata kwenye taarifa yake moja wapo.Infact hiyo ya miaka mitatu alisema ni an over estimate.Na kama Ex-Vice President wa Pfizer kampuni inayotengeneza chanjo moja wapo,sina sababu yeyote ya ku-doubt taarifa yake
Who then do I believe.
 
We are talking of something very deadly,sio Panadol,acheni ujinga.Panadol inaweza kubadili DNA yako!Panadol ukila matunda na mboga tu si sumu yake inaondoka.Hii inabadili Genome yako na it can kill you instantly,na sumu yake ni permanent,inabaki na wewe maisha yako yote.Na mind you ukishachanjwa life span yako haizidi 3 yrs.Jamani hii kitu ni mbaya,yaani clips nilizoweka hazikustui,kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Wew ni chizi, jamaa kasema wew ni Gwajiboy uliyepooza
 
Wew ni chizi, jamaa kasema wew ni Gwajiboy uliyepooza
Infact wewe ndiye unayeonyesha kwamba ni chizi.Povu lako halisaidii kitu,lete taarifa mbadala.Ndivyo CIA walivyo wafundisha,ku-ridicule truth tellers,ovyooo....!
 
Umeandika upumbavu tu umetummwa na gwajima


USSR
Katika watu wapumbafu jf nayo inawapumbafu wa kutosha.maana wananunulika kama Malaya tu.kama huyu mwandishi hapa.mambo ya msingi yajibu kisayansi .sio kihunihuni tu kama makamba na watu wake.
 
Wew ni chizi, jamaa kasema wew ni Gwajiboy uliyepooza
Uchizi wangu ni nini,niambie.Halafu inaelekea ulishakutana na wreth ya Magu mahali,kwa nini unachukia Wasukuma kiasi hicho.Don't be stupid,chukia mambo ya mtu,sio mtu.You look queer.
 
Kama ni hiali mbona matangazo kibao mpaka wasanii.je nawaupande wa pili wakifanya hvyo utajisikiaje.
Nice comment.Na mbona hatuoni wasanii wanaoweka wazi ubaya wa chanjo?Kuna jambo hapa tena baya.Sisi kama Watanzania tuamke tukinyamaza tumekwisha.Wenzetu Ulaya wamesha amka sisi lini?Ona jamaa wanavyopambana na polisi👇
 

Attachments

  • VID-20210729-WA0002.mp4
    7.7 MB
Hii JAMIIFORUMS nilishaishtukia kitambo!!

Wamekuwa vinara wa kuchochea hofu ya CORONA na kujaza watu propaganda.

Hii forum ni ya kuitizama kwa makini sana, sio ya kawaida.
Kabisa.yaani huwa wapo kimaslahi sana na wananunulika sana.we angalia mambo ya mboye kama kuna nyuzi zinazomuongelea kwa kumtetea.ndio utajiuliza ,mbona alikuwa anawafuasi wake wengi fj sasa wameenda wapi.kumbe ni wachumia tumbo tuu.walikuwa wanalushiwa vibando wanakesha wakisifu tuu.sasa vibando hakuna kimya kimetawala.hvyo hawa jamaa ni hatari sana kwa nchi hii.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom