Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,026
- 1,242
Naunga mkono hoja sichanjwiRais Joe Biden wa Marekani amewaagiza viongozi wa majimbo nchini humo kuwalipa dola 100 kila mtu atakayefika kuchanjwa. Najiuliza,what is behind all these? Kwanini wanasiasa wanapigia debe hizi chanjo?
Mfano Tz chanjo zimefikia kwenye miili,nani kazifanyia hata kautafiti kidogo? Je,tuna wataalamu wa chanjo?
Kimewatokea nini viongozi wetu wa afya waliokua wanapinga chanjo mpaka kujenga mashine ya kufukiza pale Muhimbili?
Habari za uhakika ni kwamba watu zaidi ya elfu tatu wameshafariki kwa hizi chanjo.
BINAFSI SICHANJI MPAKA 2026,LABDA NIFE.