Ndio maana imesemwa si lazima hiyo maana yake kila mmoja haki yake imelindwa.Ni swali zuri
Jibu ni rahisi,ni kwa sababu watu wemeistukia.Kwa nini?
Hata pamoja na ujinga wao,they have the right to be protected.
Hapana,hili ndilo jambo la msingi sana kwa sasa katika taifa letu,hatuwezi kuli ignore..Labda kama wewe sio Mtanzania na ni a NWO impostor.The future of Tanzania as a nation depends 100% on this issue.Wote tukishachanjwa it's over,hatuna taifa tena,it will be a nation of a few zombie serfs and graves,hata sijui nani atachimba hayo makaburi.Tusilazimishane anaetaka achanje asiyetaka asichanje. Kwani wakipata madhara si wao wenyewe. Tujadili mambo mengine kwa sasa.
Mimi na wewe nani anapayuka,unalazimisha unakichokitaka wewe! Hiyo haiwezekani.Address issues zilizopo kwenye bandiko,usipayuke.
Wanao wapotosha ni hao wanaowaambia uzuri tu wa chanjo.Na hao si wengine,ila ni hayo makampuni yanayotengezo hizo chanjo na washirika wao.Mimi napata faida gani nikikuambia ubaya wa chanjo,sina,at most nakusaidia usipate madhara.Ila wao wanafanya biashara na ku-depopulate Tanzania na the World,ili watawale resources zote.Binafsi nashindwa kuelewa nia ya watu wanaosema mambo mabaya tu kuhusu chanjo, hebu acheni kutupotosha bana
Wafanyakazi wasiotaka chanjo wanaweza kufungua kesi wakazuia utekelezaji wa hili agizo au waraka.Hawatasema lazima,ila wakisema usifanye hivi au usienda hapa bila kuchanjwa si lazima tayari.Tayari wafanyakazi wa East Africa Seed Company wameshaambiwa bila evidence kwamba wechanjwa ofisi za kampuni ni out of bounds👇.
See this👇
View attachment 1875325
Hata panadol kuna watu si salama kwao...upotoshaji umezidiBinafsi nashindwa kuelewa nia ya watu wanaosema mambo mabaya tu kuhusu chanjo, hebu acheni kutupotosha bana
Ficha ujinga na upumbavu wako!, yaani ulicho andika ni zaidi ya matap tap, ni bora unge kaa kimya kuliko kuzijaza servers za JF kwa upumbuvu upumbavu!Vi-dumper mnasumbua sana,leteni constructive criticism.
Hata sipajui kanichukuliePitia posho yako American Embassy,payroll master anakusubiri.
Basi nitamuomba Kibwetere akanichukulie.Mimi hawanijui.