- Thread starter
- #81
Asanteni wakuu wote mlionishauri. Nimepima ijumaa tarehe 27 Nov, na jibu ni hili: NEGATIVE
Ingawa nilitumia ndomu siku zote, bado nilikuwa na hofu ya kufa mtu! Lakini wameniambia bado nahitaji kupima tena (sijui ndio wananivutia muda wanijie na bad news kabisa?)
Kwa hiyo next appointment ni miezi 3 ijayo, siku ya alhamisi tarehe 19 February 2010, saa 3 asubuhi. Nimenunua diary mpya na kuweka alama tayari, wish me well wakuu zangu.
Ingawa nilitumia ndomu siku zote, bado nilikuwa na hofu ya kufa mtu! Lakini wameniambia bado nahitaji kupima tena (sijui ndio wananivutia muda wanijie na bad news kabisa?)
Kwa hiyo next appointment ni miezi 3 ijayo, siku ya alhamisi tarehe 19 February 2010, saa 3 asubuhi. Nimenunua diary mpya na kuweka alama tayari, wish me well wakuu zangu.