Ex- bishop sasa ni Raisi: Wanawake aliozaa nao wazidi wajitokeza!

MzalendoHalisi

JF-Expert Member
Jun 24, 2007
4,519
1,367
Yaani huyu Jamaa alikuwa Askofu RC: Akajifanya anawasaidia akina mama maskini, akawapa wengine mimba!

Mwaka jana akaacha uaskofu akachaguliwa Raisi!

Sasa akina mama wawili wamejitokeza kudai matunzo ya watoto!

Je kwa nini asioe kabisa sasa ili nchi iwe na 1st Lady?

Tayari amekubali mtoto mmoja baada ya mama mtoto kulazimisha wakapime DNA

Huyu ni raisi wa Paraguayi: Fernando Lugo



BBC NEWS | Americas | Second Paraguay love-child claim
 
Ile nadhili ubaki ikiwasumbua waseja hata wanapoiacha. Wengi uishi maisha wakiwa na frustrations tupu.
Nina mifano hai ya wengi ambao wanapata matukio mabaya na hawawi na raha hata wakioa au kuolewa!
 
Leo tena kajitokeza mwanamke wa tatu anadai pia alizaa na huyu Raisi!

Amakweli huyu Askofu wa RC alikuwa kiwembe!
 
Yaani huyu Jamaa alikuwa Askofu RC: Akajifanya anawasaidia akina mama maskini, akawapa wengine mimba!

Mwaka jana akaacha uaskofu akachaguliwa Raisi!

Sasa akina mama wawili wamejitokeza kudai matunzo ya watoto!

Je kwa nini asioe kabisa sasa ili nchi iwe na 1st Lady?

Tayari amekubali mtoto mmoja baada ya mama mtoto kulazimisha wakapime DNA

Huyu ni raisi wa Paraguayi: Fernando Lugo



BBC NEWS | Americas | Second Paraguay love-child claim

So, what! Ameamua na kuchagua njia inayomfaa. Kwani angefanya nini ili uone kama hakujifanya? By the way, huna 'details' za 'personal life' yake kwa hiyo 'you are most likely prejudicial about him'.
 
Ile nadhili ubaki ikiwasumbua waseja hata wanapoiacha. Wengi uishi maisha wakiwa na frustrations tupu.
Nina mifano hai ya wengi ambao wanapata matukio mabaya na hawawi na raha hata wakioa au kuolewa!

Uongo! Honesty au integrity ya mtu haifuati kwa vile fulani alikuwa mseja au la. Mbona hata waliooa kuna wenye 'frustrations' na 'scandals'?
 
Leo tena kajitokeza mwanamke wa tatu anadai pia alizaa na huyu Raisi!

Amakweli huyu Askofu wa RC alikuwa kiwembe!

Hivi, wakati wanakubali kufanya naye mapenzi walikubaliana nini kwa vile nina imani wahusika wote ni watu waliofikia umri wa kuweza kuchagua chema na kibaya? Na inapotokea kwa issue kama hiyo, it's unfair to blame one party only. Let's be balanced in the way we talk about issues. Of course, we can blame the ex-bishop for playing around while he was in active ministry. But we cannot excuse his lovers for sleeping with him while they knew he was a bishop (had another life commitment).
 
Hawa mapadiri wetu wangeruhusiwa tu kuoa ili wasiwake tamaa,Mtume Paulo akasema ni heri kuoa kuliko kutenda dhambi lakini kama unaona unaweza kweli na usioe kama yeye alivyokuwa hakuoa aliushinda msisimko na tamaa ya mwili.
 
Biography of Fernando Lugo Méndez

Fernando Lugo Méndez (1951-) is a former Catholic Bishop and (since 2008) the current President of Paraguay. His election to the office of president is notable because it marked the end of the time of rule of the Colorado Party, which came into power in 1947.
Background:
Lugo grew up poor in the city of Encarnación, but managed to get an education, including a degree as a primary school teacher. Within a couple of years, he felt a calling to the priesthood and began studying in the seminary. He took his vows in 1975 and went to Universidad Católica Nuestra Señora de la Asunción, where he graduated with a degree in Religious Sciences. He spent the next five years working as a missionary in a remote part of Ecuador, where he first came into contact with Liberation Theology, a branch of Christian thought which holds that it is the mission of the church to fight poverty and oppression.

Bishop:

After a four-year trip to Rome for more study, Lugo returned to Paraguay. The promising young priest rose quickly in the ranks and was ordained Bishop of the impoverished San Pedro diocese in 1994. He used his position to champion Paraguay’s poor, fighting for a just and fair society. This put him at odds with the crooked rule of the Colorado Party and the entrenched corruption it represented. The charismatic Lugo soon attracted a devoted following.

Move Into Politics:

Lugo began getting more and more involved in politics. He organized the Resistencia Ciudadana (Civilian Resistance), an anti-Colorado union of political parties and social organizations. In 2006 he decided to go into politics full-time and resigned from his seat as Bishop and the Church. Although the resignation was not accepted and he was suspended by the Pope, he continued to be politically active. In November of 2006 more than 100,000 Paraguayans signed petitions begging him to run in the 2008 elections. When he announced his candidacy, he was supported by dozens of political parties and organizations.

Presidential Candidate:

In the years of Colorado Party rule, contacts within the party were much more important than any skills for landing government jobs. Lugo campaigned on change, vowing to fight this insidious corruption that has plagued this tiny nation in one form or another since independence. He also pledged to institute land reform, improve education and develop social programs aimed at helping the poorest Paraguayans. His past as a bishop helped cement his image as an honest, principled reformer.

The 2008 Election:

Lugo’s opponent in the 2008 election was Blanca Ovelar, the Colorado Party nominee who would have been Paraguay’s first woman president if elected. The campaign turned nasty, with Lugo being compared to Hugo Chavez and allegedly linked to terrorists and kidnapping gangs. Many outside observers doubted that Lugo, who had never held political office, would be able to defeat the entrenched Colorado Party. On April 20, 2008, however, he did just that, winning by ten percentage points in a landslide.

Administration to Date:

Lugo took office on August 15, 2008. Lugo has maintained his popularity in Paraguay and has successfully walked a diplomatic tightrope. He is a leftist leader like Hugo Chávez in Venezuela or Evo Morales in Bolivia, yet had maintained friendly relations with Washington. In this, he is much more like Brazil’s Liuz Inácio Lula da Silva than Morales or Chavez.

His first 100 days in office were a mixed bag of successes and frustrations. Food and water service and health care have been made more available to some of the poorest Paraguayans. He has begun to fight corruption, but faces stiff opposition from the Colorado-controlled legislature and judiciary.

Land reform has also stalled, due to the wealth and power of large landowners. Many of the richest landowners are Brazilian, and they asked the government of Brazil to step in and help negotiate when the Paraguayan government threatened to nationalize their lands. The delay in reform has led many of Lugo’s supporters to participate in street demonstrations. Crime is also up significantly.


JE, MH. LUGO ATAWAKUBALI WATOTO WOTE WA3???:confused:
lugo.jpg


Fernando Lugo, Paraguay's Bishop-Turned-President, Admits To Fathering Child

Paraguayan President Fernando Lugo admitted Monday he is the father of a child conceived while he was still a Roman Catholic bishop.

Lugo surprised journalists by acknowledging he had an intimate relationship with Viviana Carrillo, the child's mother _ just five days after lawyers for Carrillo announced they were filing a paternity suit against him.

"Here and now, before my people and my conscience, I declare with absolute honesty and a sense of duty and transparency in relation to the controversy provoked by the paternity suit, that there was a relationship with Viviana Carrillo," Lugo said.

"I assume all responsibilities ... and recognize the paternity of the child," he added, promising to protect the boy's privacy.

The president said he will not comment further on the matter, but will instead focus on his presidency.

Carrillo did not immediately respond to Lugo's surprise announcement, but her lawyer Claudio Kostinchok said he was pleased.

"By recognizing he is the father of the child, he proves us right," Kostinchok said. "We didn't invent anything."

Kostinchok said he did not know immediately what would happen with the lawsuit. Last week, he said he would withdraw it after Carrillo denied approving it.


59b7fafc-e685-438e-abbd-68143e95dc3b.jpg

Paraguay's President Fernando Lugo pauses during a news conference in Asuncion, Monday, April 20, 2009. A Paraguayan woman asked President Lugo to recognize her six-year-old son as his own on Monday, becoming the second woman this month to claim that the former Catholic bishop had fathered her child while still leading the church. Lugo did not respond to her claim but he said in a statement that " he is ready to act always in line with the truth". Lugo admitted Monday he had a relationship with Viviana Carrilllo, 26, and the paternity of her son Guillermo Armindo, 2, born when he was still the bishop of San Pedro, 400 kms northeast from Asuncion.

Fernando Lugo Paternity Saga: Another Woman Claims Paraguay President Fathered Her Child

Paraguay's president was hit with another paternity claim Monday, just a week after the former Roman Catholic bishop acknowledged fathering a different illegitimate child while still subject to his vows of chastity.

Fernando Lugo, 57, did not confirm nor deny fathering the 6-year-old boy, but read a brief statement promising to "act always in line with the truth and subject myself to all the requirements presented by the justice system."

He also appealed for privacy, referring all questions about paternity claims to his lawyer.

Two of Lugo's cabinet ministers started judicial proceedings against their boss on the latest woman's behalf, and vowed to order DNA tests if Lugo doesn't recognize paternity.

Women's Minister Glorida Rubin said Lugo later agreed to submit to DNA tests and talk with the woman to try to reach an understanding.

When Lugo admitted last week that he fathered a 2-year-old boy with a different former parishioner, saying he would "assume all responsibilities" for the boy, analysts predicted his forthright response would disarm the potential scandal, despite the feeling of at least one bishop that it was a "slap in the face" of the Catholic Church.

Now another paternity claim is sure to give his opponents more ammunition.

Lugo said attorney Marcos Farina, who represents him in the other paternity case, would handle this claim as well.
 
Hawa mapadiri wetu wangeruhusiwa tu kuoa ili wasiwake tamaa,Mtume Paulo akasema ni heri kuoa kuliko kutenda dhambi lakini kama unaona unaweza kweli na usioe kama yeye alivyokuwa hakuoa aliushinda msisimko na tamaa ya mwili.

Mimi bado naamini kutenda dhambi hakutegemei kuoa au kutooa. Human frailty is complex and we sometimes do not have the answers to the problems we experience in life. We cannot choose what is good/better/best for other people.

We can only say "If it were me I wouldn't be a priest" but we cannot force those who are not "me" to choose what is best for them even if in our eyes looks meaningless.
 
Huyu jamaa hata kama asingekuwa bishop hapo awali angekuwa pia siyo mwaminifu kwa ndoa yake hata kama kihalali angeruhusiwa kuoa wanawake tisa, huo ndo udhaifu wake yeye yaani ni mwasherati.
Mungu amrehemu atubu na achague aina ya maisha aipendayo. Na aishi kwa kheri pia.
 
Hivi, wakati wanakubali kufanya naye mapenzi walikubaliana nini kwa vile nina imani wahusika wote ni watu waliofikia umri wa kuweza kuchagua chema na kibaya? Na inapotokea kwa issue kama hiyo, it's unfair to blame one party only. Let's be balanced in the way we talk about issues. Of course, we can blame the ex-bishop for playing around while he was in active ministry. But we cannot excuse his lovers for sleeping with him while they knew he was a bishop (had another life commitment).

Magobe T,

Dhambi ni dhambi tu!

Yeye alikuwa Askofu wa eneo maskini zaidi Paraguai na akina mama maskini wajikuja kwake kumlilia shida zao socially and economically!!

sasa akaexploit hali ya umaskini ya hawa akina mama na kuwazalisha! Hii ni dhambi kubwa sana: ni kama binti yatima ama omba omba anakuja kukuomba msaada alafu unamwoexploit sexually! Je utasema yeye alikubali kwa hiari?

Hakuna ushahidi kuwa hawa akina mama walikubaliana kwa hiari!

Ubaya angalia sasa tayari wamejitokeza wanawake watatu..sasa hapo unasemaje??

Kwa kifupi, huyu jamaa morally speaking: ni mchafu, haswa wakati akiwa askofu!
 
mimi sina Issue na watu wazima kukubaliana kutembea au kuzaa issue yangu kubwa sana na in fact ni kero na pale mtu mzima haswa mwanauma amezaa na mwanamke kwa mapenzi halafu anajifanya kuwa ni mwadilifu na kurukia kugombea ukubwa wakati ana mifupa kibao kwenye kabati! Kwanza siyo haki kwa watoto maana wana haki ya kuwa na baba yao. pili siyo haki kwa nchi anayo ilaghai kuwa yeye ni kiongozi mwadilifu na kuwa ata linda maslahi ya wananchi ilhali watoto damu yake mwanamke ambaye alimhadaa hana shughuli naye! Halafu eti bado anaendelea na uraisi hivi jamani maadili yakishaporomoka kiasi hiki hivi vizazi vijavyo vitajifunza nini? Ndio maana mtu kama Zuma anashangiliwa tu hata na hao wanawake anaowabaka jamani kchefuchefu!

Haya niambieni nyie mnaopendekeza maadili yawe kigezo kikubwa atakayoyasimamia ni nani ambaye yeye mwenyewe siyo mfuska mapadri ndio hao washeikh mnawasikia kila siku viongozi ndio kabisaaa!
Tutafika kweli?
 
Magobe T,

Dhambi ni dhambi tu!

Yeye alikuwa Askofu wa eneo maskini zaidi Paraguai na akina mama maskini wajikuja kwake kumlilia shida zao socially and economically!!

sasa akaexploit hali ya umaskini ya hawa akina mama na kuwazalisha! Hii ni dhambi kubwa sana: ni kama binti yatima ama omba omba anakuja kukuomba msaada alafu unamwoexploit sexually! Je utasema yeye alikubali kwa hiari?

Hakuna ushahidi kuwa hawa akina mama walikubaliana kwa hiari!

Ubaya angalia sasa tayari wamejitokeza wanawake watatu..sasa hapo unasemaje??

Kwa kifupi, huyu jamaa morally speaking: ni mchafu, haswa wakati akiwa askofu!

Kuna wengine wawili wanategemewa kujitokeza kabla ya jumatatu, inahofiwa wangejitokeza wengi zaidi lakini wanaogopa wadhifa wa jamaa na ukichukulia wengi ni masikini sana.

NB:HIVI HUYU JAMAA HAJAWAHI KUSIKIA KITU KINAITWA CONDOM?
 
Huyu Rais ni mbakaji 'pure and simple' alitumia umasikini wa wanawake hawa kuwarubuni na kama wote wamezaa naye basi alikuwa anakutana nao zaidi ya mara moja.Pamoja na kutoipenda Israel lakini mambo kama haya huko unaachia ngazi na unaweza shitakiwa pia.
 
Back
Top Bottom