BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Pretty! huyo xbf yako muulize maswali yafuatayo:
1. Kama anakupenda kwa dhati na anaona unaumuhimu kwako basi muulize why alioa akakuacha?
2. Je anaweza akaachana kabisa na huyo mkewe then mkafunga ndoa nyote mkaishi pamoja?
Nauhakika atapatwa na kigugumizi hatoweza kutekeleza hayo nawe hapo akili kumkichwa unampiga chini kama yeye alivyokuacha na kuoa mwanamke mwingine.
Usisahau kumwambia hivi ".....We wa nini wenzake wanauliza watakupaa lini...."
Shosti tulia usiwa na BP watakuja wengi tu wakukuliwaza nae utachagua anae kufa...
1. Kama anakupenda kwa dhati na anaona unaumuhimu kwako basi muulize why alioa akakuacha?
2. Je anaweza akaachana kabisa na huyo mkewe then mkafunga ndoa nyote mkaishi pamoja?
Nauhakika atapatwa na kigugumizi hatoweza kutekeleza hayo nawe hapo akili kumkichwa unampiga chini kama yeye alivyokuacha na kuoa mwanamke mwingine.
Usisahau kumwambia hivi ".....We wa nini wenzake wanauliza watakupaa lini...."
Shosti tulia usiwa na BP watakuja wengi tu wakukuliwaza nae utachagua anae kufa...