korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
Habarini janan...jana nlipigiwa cm ewura wameniita kufanya interview tarehe 12.12.2013! Kwakuwa nlikuwa kwenye kelele yule dada ckumckia vzuri wap nafanya...kadri nlivyojitahd nimckie na cm yangu ina matatizo ya spika sikumckia..akakata cm! Naombeni kwa yyte alieitwa anijuze! Na je interview zao znakuwaje?ni km zle zakuitwa watu wote walioapply au hawa wenzetu Wako vizuri???mana nko mkoan nicjepoteza nauli yangu bureee