EWURA Yatema Madini

Poise

JF-Expert Member
May 31, 2016
7,633
7,899
EWURA yatema madini hebu .
Soma hapo kwenye ambatanisho.

Je, hawakujua kuwa ni makosa Kupokea maombi ya IPTL hadi watumbuliwe!?

Je, ni kweli kuwa ofisi na mamlaka nyingi hapo Tanzania zinaendeshwa na watu back ambao hawamo kwenye mfumo wa mamlaka hizo!?.

Sababu kuu , inayonipelekea kusema hivyo ni kutokana na mamalaka hizo kufanya makosa yaleyale ya kila siku na kutumbuliwa kwa wakuu au wakurungezi wa mamalaka hizo!.

Maoni yenu wadau...
 
Madini hayo
 

Attachments

  • IMG_20170611_134211_576.JPG
    IMG_20170611_134211_576.JPG
    290.6 KB · Views: 28
Waangalie mkataba unasemaje (ule wa kutuuzia umeme)

Msije mkabimbiliswa mahakamani muishie kumlaumu na kumshutumu Tundu Lissu.
 
Mtoa mada uko sawa, hata mimi najiuliza hii counterattack ya wapi, asubuh katumbuliwa, mochana press reliese from the same office and position. some one is behind ...
 
Back
Top Bottom