EWURA yatangaza kuongeza bei ya umeme kwa asilimia 8.5

Actually nawapongeza sana EWURA coz TANESCO waliomba kupandisha umeme Kwa wastani.Wa.asilimia 18... But after EWURA kufanya analysis wameona hilo ongezeko so halali....without EWURA believe me hali ingekua mbaya than this.
 
Nabado tanzania nichi ya mazombi ukiwaambi tubadilike wanasema kimetulea kimetukuza sasa nasema bado watapandisha mbaka%100 ndoakili iwakae maana ni mambumbumbu
 
Hatimaye serikali sikivu na tiifu kwa watanzania yawapandishia umeme watumiaji wa umeme kwa 8. Hii ni baada ya serikali kukataaa ongezo lililoombwa na Tanesco la 18 sawana na VAT nyingine. Kama wangefanikiwa mtumiaji angekuwa anakatwa zaidi ya 30%.Pia Rais wa Tanzania amepiga simu clouds Tv kuwatakia kheri na Fanaka ya mwaka mpya wa Tanzania wote.
TEHETEHEEEE, mtoa post utanvunja mbavu jaman
 
Jamani guys tuelewe kitu kimoja, tusi comment bila kuwa na all information
In kwamba
Kwa watumiaji wa. Chini ya Unit 75 umeme haujapanda hata sh 10 wataendelea kununua umeme kama zamani. Wataendelea kununua unit 1 Kwa sh 100, tofauti na pendekezo LA TANESCO walikua wanataka sh 105.

Wale wateja Wa majumbani wanaotumia above unit 75 wataendelea kununua umeme Kwa bei ile ile ya sh. 350 tofauti na sh 402 iliyopendekezwa na TANESCO

T1b wateja wenye matumizi ya kawaida na viwanda vidogo , mabango na Minara ya simu kuanzia hapo ndio bei zimepanda.
All in all wateja Wa majumbani hawajawa affected hata robo.... Tuache mihemuko tuongee Kwa facts
sasa gharama za umeme kwenye viwanda na minara ya simu ikipanda si ndio mwanzo wa wao kuhamishia gharama kwenye bidhaa zinazozalishwa.
 
Ohoo nyie mna roho mbaya mnaotaka umeme usishushwe bei sijui service charge. Watu wawaambia jama hawana hiyo income hawa ya kushusha bei kama lengo ni kupata faida itakayoweza kufanya uwekezaji kiko wapi.

Ni bahati tu mapanga shaa yamenunuliwa cash, lakini ingekuwa mkopo miaka miwili mingi jamaa wangekuja kuchukua ndege zao.
 
Mwmbie Mbowe atujengee ofisi za chama.

Ni aibu kwa chama kuhubiri maendeleo wakati hata ofisi yetu imetushinda
 
ghalama zamaisha zinapanda kla kukicha, lkn tunaojiita watumishi wa umma kamshahara ketu kamedumaa kweli hadi inafikia hatua mtumishi wa umma unaogopa kusema unafanya kaz gvmnt, mbaya zaid unapomsikia mkulu na wakuu wake wawilaya kama vle yule wa kinondon wakisema 'mtumishi wa umma ukiona mshahara hautoshi acha kazi'
 
Tumeona jangwa linatunyemelea taratibu tumeamua kupandisha bei ya umeme na gesi tutapandisha kwa asilimia 20%. Hii itaongeza kasi ya ukataji miti na matumizi makubwa ya kuni na mkaa. Karibu jangwa tumekusubiri kwa muda mrefu. Karibu mwakwetu. Karibu.
Hapo ndipo watu wanajiulize shuleni tulifuata nini? Au waamuzi wa technical issues ni wanasihasa? Uamuzi huu hautarajiwi uwe wa wataalamu au wazalendo.
 
Du mishahara haijapanda gharama za maisha zinapanda.
Na huo umeme utapandisha bei za bidhaa zinazo tegemea umeme kwa asilimia 8 au zaid.
 
Back
Top Bottom