EWURA yatangaza kuongeza bei ya umeme kwa asilimia 8.5

Wakija wasikilize vizuri na ndio utajua ukweli unatuweka huru.
Sijui watakuja na kisingizio gani maana kama ni US Dollar by the time wanayasema ilikuwa juu kuzidi sasa, 2,250/-
kaka mimi najiuliza tutadanganywa mpaka lini? Yaani viongozi wetu kwanini wanatuona sisi kama Mazuzu?

Mh Makamba Alituambia wakati Akiwa naibu waziri wa mawasiliano, kwamba Tukiunganishwa na Mkonga wa Taifa bei za Mawasiliano na Vifurushi vya Internet vitapungua bei.


tukapunguziwa bei lakini kabla ya uchaguzi mkuu jamaa wakageuka Kama Nyoka tukapandishiwa bei bila kuambiwa sababu za msingi.

Sasa hivi umekuja Umeme hivi kweli serikali inatufikiriaje sisi wananchi wake?

Gharama za maisha zimependa sana, ukipandisha Bei ya umeme, moja kwa moja utapelekea Mfumuko wa bei Ambao mzigo uo anabebeshwa Mwananchi.

Mkaa ghali, ges gali, umeme ndiyo umeshakua Anasa sijui tunakwenda wapi Mungu Atusaidie watanzania.

Maana siasa imeshindwa kutuletea Nafuu badala yake inatuangamiza kabisa Mungu Turehemu waja wako, wape viongozi wetu moyo wa kuwafikiria wenzao na kuwasaidia badala ya kutuangamiza kabisa.
 
kaka mimi najiuliza tutadanganywa mpaka lini? Yaani viongozi wetu kwanini wanatuona sisi kama Mazuzu?

Mh Makamba Alituambia wakati Akiwa naibu waziri wa mawasiliano, kwamba Tukiunganishwa na Mkonga wa Taifa bei za Mawasiliano na Vifurushi vya Internet vitapungua bei.


tukapunguziwa bei lakini kabla ya uchaguzi mkuu jamaa wakageuka Kama Nyoka tukapandishiwa bei bila kuambiwa sababu za msingi.

Sasa hivi umekuja Umeme hivi kweli serikali inatufikiriaje sisi wananchi wake?

Gharama za maisha zimependa sana, ukipandisha Bei ya umeme, moja kwa moja utapelekea Mfumuko wa bei Ambao mzigo uo anabebeshwa Mwananchi.

Mkaa ghali, ges gali, umeme ndiyo umeshakua Anasa sijui tunakwenda wapi Mungu Atusaidie watanzania.

Maana siasa imeshindwa kutuletea Nafuu badala yake inatuangamiza kabisa Mungu Turehemu waja wako, wape viongozi wetu moyo wa kuwafikiria wenzao na kuwasaidia badala ya kutuangamiza kabisa.
Kwani wewe hapo ulipo unajitambua ? Hahaa uwiii mazuzu katika ubora wetu
 
hapa nawaza hivi kwanini siasa zinatumika kudanganya watu?

Tulidanganywa na Profesa Mhongo kwamba Gesi ya Mtwara ikishaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa Umeme Utashuka sana Bei.

Tena tuliambiwa Kuanzia mwaka Huu 2017 bei itashuka kabisa.

Sasa wanakuja kutuambia Bei inapanda?

Hakika siasa tanzania ni Uongo Mtupu.
Siasa ni uongo si kwa Tanzania tu sema wanasiasa wa Tanzania wamezidisha uongo.
 
Kulikuwa Na haja gani yakuitoa gesi mtwala?

kulikuwa kuna haja gani yakudanganyana bungeni na kumuita kafulila tumbili?

ki ukweli tunakumisi kikwete ila kuna mambo kadha wa kadha kwenye uongozi yako ynakuja kumkosti magufuli wa watu.
Mkuu mtwala ndo wapi huko?
 
Tanesco mungu anawaona na huyu Baba Jesca nae mungu anamuona Ewura mungu anawaona acheni tuisome namba na tuishi kama mashetani kama mnavyotaka
 
Jamani guys tuelewe kitu kimoja, tusi comment bila kuwa na all information
In kwamba
Kwa watumiaji wa. Chini ya Unit 75 umeme haujapanda hata sh 10 wataendelea kununua umeme kama zamani. Wataendelea kununua unit 1 Kwa sh 100, tofauti na pendekezo LA TANESCO walikua wanataka sh 105.

Wale wateja Wa majumbani wanaotumia above unit 75 wataendelea kununua umeme Kwa bei ile ile ya sh. 350 tofauti na sh 402 iliyopendekezwa na TANESCO

T1b wateja wenye matumizi ya kawaida na viwanda vidogo , mabango na Minara ya simu kuanzia hapo ndio bei zimepanda.
All in all wateja Wa majumbani hawajawa affected hata robo.... Tuache mihemuko tuongee Kwa facts
 
Hatimaye serikali sikivu na tiifu kwa watanzania yawapandishia umeme watumiaji wa umeme kwa 8. Hii ni baada ya serikali kukataaa ongezo lililoombwa na Tanesco la 18 sawana na VAT nyingine. Kama wangefanikiwa mtumiaji angekuwa anakatwa zaidi ya 30%.Pia Rais wa Tanzania amepiga simu clouds Tv kuwatakia kheri na Fanaka ya mwaka mpya wa Tanzania wote.
 
Back
Top Bottom