mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
BP 1 - Ewura 0
Hii aibu kweli
Kiongozi wetu takataka
Hii aibu kweli
Kiongozi wetu takataka
AbsolutelyWalifanya kamchezo cha kuigiza ili bajeti ipite.
naomba msaada wa kuhamia hata huko comoro bongo inatisha.
Kama ilivyo ada, na kulingana na Kanuni ya Kukokotoa bei za bidhaa za mafuta ya petroli bei zimekuwa zikikokotolewa na kutangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kila baada ya wiki mbili. EWURA inatangaza bei elekezi/kikomo za mafuta ya petroli nchini zitakazoanza kutumika kuanzia Jumatatu, Tarehe 15 Agosti 2011. Bei hizi zimekokotolewa kwa kuzingatia kanuni mpya iliyoanza kutumika mwanzoni mwa mwezi huu. Pamoja na kutambua bei elekezi/kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo: |
Aina ya Mafuta | Bei za Rejareja (TZS/L) | Bei za Jumla (TZS/L) | ||
Kwa Formula ya zamani | Kwa Formula Mpya | Kwa Formula ya zamani | Kwa Formula Mpya | |
Petroli | 2,298.33 | 2,114.12 | 2,230.07 | 2,046.62 |
Dizeli | 2,213.36 | 2,031.31 | 2,140.80 | 1,963.81 |
Mafuta ya Taa | 2,188.89 | 2,005.40 | 2,116.33 | 1,937.90 |
A: BEI ZA REJAREJA
|
mkuu hata ukisema hivyo hapa jamaa wametupiga changa la macho wamerudisha bei ya zamani halafu wakawa wanasema kila baada ya wiki 2 bei ina badilika kwa baada ya leo bei itakuwa petroli ni 2300 na dizeli ni 2204 na mafuta ya taa ni 2196 kwa dar tu..Naungana na didas masaburi kwa ule useme wake.
hivi mmemuelewa mtoa mada? au unabisha bisha, Ewura wali2mia formula iliyokuwa ikitumika hapo zamani kabla ya mgomo, na hiyo ni baada ya kugundua kuwa formula mpya imekosewa kitaalamu,.mkuu huyu mleta maada ninavyoona ni kam vile anafikiria kwa kutumia masaburi. Yaani haelewi ila anakurupuka tu, sijui kalewa mbege? Aggghhhh!!! nashindwa hata kumjaji.
mkuu hata ukisema hivyo hapa jamaa wametupiga changa la macho wamerudisha bei ya zamani halafu wakawa wanasema kila baada ya wiki 2 bei ina badilika kwa baada ya leo bei itakuwa petroli ni 2300 na dizeli ni 2204 na mafuta ya taa ni 2196 kwa dar tu..