EWURA: Taarifa kwa umma kuhusu bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia 1 Desemba 2021

Mbona umefura sana?!
Magufuli alizaliwa na kuikuta Tanzania na amekufa na kuiacha Tanzania hakuna mtu mkubwa zaidi ya Tanzania yenyewe muendeele kumkumbuka tu.

Halafu mko uchumi wa kati why lita moja kwa 0.97 $ iwashide? Huku tunanunua hadi 1.99$ kwa lita
 
Tanzania wapi wanachimba mafuta?? Huyo unaesema watamkumbuka aliwezesha mafuta kupatikana bila kufanya importation?

Yaani CCM hovyo kabisa hamjui nani hata anacontrol uchumi wa dunia na biashara kama hizo zinakuwa controlled vipi!

Hafufuki ng'o hata mfanyeje
Mda mwingine muwe mnaficha ujinga na upumbavu wenu! Huyo Magufuli aloshafariki mnamleta kwenye mjadala wa nini? Huyu mama kama Anashindwa kujisimamia kwenye masuala nyeti kama ya mafuta na gesi nayo imepanda lazima ukweli usemwe! Ila zio kila anayemkosoa mama ni team Magufuli hapo tunaharibu Sana!
 
Ewura imetoa taarifa ya kupanda kwa bei ya mafuta kwa mwezi December unaoanza kesho, Bei hii itafanya baadhi ya mikoa kununua mafuta kwa Sh.2750.
Lakini kwa sasa kwenye soko la dunia Bei ya Mafuta imeshuka, Ewura wamesema kushuka huko mafuta kwenye soko la dunia kutaleta mabadiliko mwezi January na February.
Poleni kwa wale wote mtaoathirika hasa wa mikoani, 2750 si Mchezo.
View attachment 2028639View attachment 2028640View attachment 2028642View attachment 2028643
Nawalaumu sana EWURA kwani nilitaka wapandishe mpaka Tsh 12,500/= kwa Lita ili Akili zitukae vyema Watanzania..
 
Ewura imetoa taarifa ya kupanda kwa bei ya mafuta kwa mwezi December unaoanza kesho, Bei hii itafanya baadhi ya mikoa kununua mafuta kwa Sh.2750.
Lakini kwa sasa kwenye soko la dunia Bei ya Mafuta imeshuka, Ewura wamesema kushuka huko mafuta kwenye soko la dunia kutaleta mabadiliko mwezi January na February.
Poleni kwa wale wote mtaoathirika hasa wa mikoani, 2750 si Mchezo.
View attachment 2028639View attachment 2028640View attachment 2028642View attachment 2028643
Yapande tuheshimiane
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom