Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
EWURA naona mamlaka hiyo imeshindwa kazi na sasa utendaji wake hauna tofauti na wafanyabiashara wengine wa mafuta. Kwa ujumla EWURA ni mzigo kwa Taifa na ninaamini mamlaka hii iko kwa faida ya wakubwa wachache na namna wanavyofanya kazi na kukusanya mapato yao ni mzigo kwa raia wa kawaida kwani imekuwa ikiongeza bei kwa bidhaa na huduma zote ambazo ziko kwenye mamlaka yao (umeme, maji, mafuta ...)
PUMBAFUW WATUPU WAMEKALIA KUSUBIRI SAFARI NA PER DIEM .....WAKIDANGANYANA NA MAKATIBU WA WIZARA HUSIKA AMBAO HUWAJUMUISHA KWENYE SAFARI ZAO...SHAME KIKWETE
PUMBAFUW WATUPU WAMEKALIA KUSUBIRI SAFARI NA PER DIEM .....WAKIDANGANYANA NA MAKATIBU WA WIZARA HUSIKA AMBAO HUWAJUMUISHA KWENYE SAFARI ZAO...SHAME KIKWETE