Leo Asubuhi
Member
- Apr 5, 2017
- 64
- 43
Wamekuwa wakitangaza nafasi za kazi na watu wanaomba tangu mwaka 2016 mwezi Oktoba, cha ajabu EWURA hawajawahi kuwaita watu kwenye usaili tangu oktoba 2016.
Ni kuwapotezea watu muda na fedha za kutuma maombi, zaidi ni ishara kwamba taasisi haiendeshwi kwa weledi na kwa kasi ya awamu ya tano.
Haiwezekani wawe wanatangaza tu ajira halafu haionekani nini kinafanyika, in case wali cancel ni bora kuutangazia umma na kama hawawezi kazi ya recruitment wapeleke sekretarieti ya ajira
Ni kuwapotezea watu muda na fedha za kutuma maombi, zaidi ni ishara kwamba taasisi haiendeshwi kwa weledi na kwa kasi ya awamu ya tano.
Haiwezekani wawe wanatangaza tu ajira halafu haionekani nini kinafanyika, in case wali cancel ni bora kuutangazia umma na kama hawawezi kazi ya recruitment wapeleke sekretarieti ya ajira