Ewura kujidai kuisamehe BP wakati huo huo kampuni ya BP imeuza hisa zake zote inaingia akilini?

MWAGONA

Member
Jul 14, 2011
53
3
INASHANGAZA SAANA KUONA EWURA (Energy Water Utlities Regulatory Authority) kuona kuwa ime ikomesha kampuni ya BP kwa kitendo chake cha kuamua kugomea serikali ombi lake la kupunguza gharama ya bizaa ya mafuta.

Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.

Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)
 
Habari Hii sio ya Siasa... BP toka matatizo ya kule New Orleans walitakiwa kulipa about 5 billions US Dollars

Waliuza hisa zao zote Africa, then sio sasa hivi

Ndugu hii Habari haifai hapa kwenye Jukwaa La Siasa; Well Mod's let it pass through???
 
INASHANGAZA SAANA KUONA EWURA (Energy Water Utlities Regulatory Authority) kuona kuwa ime ikomesha kampuni ya BP kwa kitendo chake cha kuamua kugomea serikali ombi lake la kupunguza gharama ya bizaa ya mafuta.

Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.

Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)

Acha unafiki kaka, BP wameuza share zao za makampuni yake ya afrika kwa PUMA muda mrefu sana. Unachoona Tz ni logo za BP tu kwa kuwa PUMA bado hawaja brand kampuni yao.
 
INASHANGAZA SAANA KUONA EWURA (Energy Water Utlities Regulatory Authority) kuona kuwa ime ikomesha kampuni ya BP kwa kitendo chake cha kuamua kugomea serikali ombi lake la kupunguza gharama ya bizaa ya mafuta.

Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.

Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)


Sababu kubwa ni biashara kuingiliwa na siasa. Na wao BP hawako tayari kushusha ubora wa bidhaa zao.
 
Suala la kuuzwa BP limeanza hata way back in 2010. Na ni kwamba jamaa wanataka kuhamishia nguvu zao kati ya Angola na Namibia baada ya kuona TZ hakuna tija ukilinganisha na maeneo hayo. And the likely bidder during that time was KOBIL Tanzania.
I think involving EWURA on this is Wrong!
 
INASHANGAZA SAANA KUONA EWURA (Energy Water Utlities Regulatory Authority) kuona kuwa ime ikomesha kampuni ya BP kwa kitendo chake cha kuamua kugomea serikali ombi lake la kupunguza gharama ya bizaa ya mafuta.

Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.

Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)
nimatumaini mleta uzi umeelewa. kuwa hilo si tatizo la ewura. PB ilishaanza kuuza hisa zake siku nyingi.
 
Na hili la EWURA kujitangaza kwenye redio na TV limekaaje? jana nimewasikia kwenye radio UHURU-B (Clouds) nikashangaa sana.

Mimi binafisi sioni kwanini mamlaka ya udhibiti inajipigia debe kwenye maredio na MaTV ili iweje? Kwani kuna huduma/bidhaa wanauza?
Mimi nadhani wanaostaili kujitangaza ni yale mabaraza ya kutetea walaji.

Hebu nisaidieni hapa mimi siwaelewi!
 
Acha unafiki kaka, BP wameuza share zao za makampuni yake ya afrika kwa PUMA muda mrefu sana. Unachoona Tz ni logo za BP tu kwa kuwa PUMA bado hawaja brand kampuni yao.
sawa kabisa na mwezi huu PUMA wamezungukia maghala yote yenye nembo ya BP
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom