MWAGONA
Member
- Jul 14, 2011
- 53
- 3
INASHANGAZA SAANA KUONA EWURA (Energy Water Utlities Regulatory Authority) kuona kuwa ime ikomesha kampuni ya BP kwa kitendo chake cha kuamua kugomea serikali ombi lake la kupunguza gharama ya bizaa ya mafuta.
Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.
Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)
Lakini cha kushangaza ni EWURA kudai kuwa imeisamehe kampuni hiyo ya BP na kwamba hilo ni fundisho kwa makampuni mengine lakini wakati huo huo kampuni hiyo imeamua kuuza Hisa zake zote iliyo kuwa ina miriki kwenye kampuni hiyo kwa Tanzania na kubakisha hisa zinazo milikiwa na serikali.
Sasa kujidai kwa EWURA ni kujiondoa kwa kampuni ya BP kabisa kumiliki au kulipwa kwa fidia au kuomba msamaha kwa kampuni ya BP huku wakiaga Tanzania (Tetesi ina semekana BP imejiondoa kutokana na ubaba ishaji wa umeme na uwekezaji TZ)