Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,055
- 12,424
Kitakachotokea vituo havitauza hadi jnne kusubiri bei mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo si dictator huyo?
Basi hali ni mbayaKwa hali ya sasa hivi, hizo ni bei za kawaida duniani;
View attachment 2177266
Bei ya Tsh 2,861 kwa lita ni sawa na $4.66 kwa galoni ambayo kwa leo hii ni bei ya kawaida sehemu nyingi za Marekani. Jana nilipita kituo fulani ambacho kinasemekana ndicho kinauza bei ya chini sana nikiwa na kuponi ya senti 12 kwa galoni, nikaongezea kama galoni 18 kwenye mkoko wangu ambazo nitatambelea kwa siku kama 7 hivi kwa kuchoma karibu $70 (=TSh160,000).
View attachment 2177272
Marekani,siyo Tanzania,elfu tatu au elfu mbili miatisa ni kubwa sana,kwa fedha ya TanzaniaKwa hali ya sasa hivi, hizo ni bei za kawaida duniani;
View attachment 2177266
Bei ya Tsh 2,861 kwa lita ni sawa na $4.66 kwa galoni ambayo kwa leo hii ni bei ya kawaida sehemu nyingi za Marekani. Jana nilipita kituo fulani ambacho kinasemekana ndicho kinauza bei ya chini sana nikiwa na kuponi ya senti 12 kwa galoni, nikaongezea kama galoni 18 kwenye mkoko wangu ambazo nitatambelea kwa siku kama 7 hivi kwa kuchoma karibu $70 (=TSh160,000).
View attachment 2177272
Mafuta yote yanatoka OPEC: Hakuna mafuta ya Marekani na mafuta ya Tanzania!Marekani,siyo Tanzania,elfu tatu au elfu mbili miatisa ni kubwa sana,kwa fedha ya Tanzania
Wapo watakaopaki msongamano lazima upungue watu wafanye na mazoezi kwa afya zao.Kama mnaona hali ngumu pakini vyombo vyenu vya moto
Ova