nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,497
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi
Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani
---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani
Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya
Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga
Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali
Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000
Na ya 53000 itauzwa 58000
Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx
Wananchi tupo tu tunaona ewala
Kuna wakati najilaumu
Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani
---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani
Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya
Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga
Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali
Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000
Na ya 53000 itauzwa 58000
Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx
Wananchi tupo tu tunaona ewala
Kuna wakati najilaumu
Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali