Treaple N
Senior Member
- Feb 11, 2021
- 161
- 385
Tunyoooooooooshe tunyoooooooooshe Hadi maji tuite MMA
Tunyoooooooooshe tunyoooooooooshe Hadi maji tuite MMA
Watu wanawaza mishahara tu, yani wanajiangalia wao tu kwamba yakipanda sio ishu kwakua kuna nyongeza ya mshahara na ambao wamejiajiri je! Hawana haki!! Hii nchi ngumu sana
Mama yenu anasemaje? Tukinyamaza itafika elfu tanoHaya wakuu mkeka mpya ndio ushatoka. Angalia mkoa wako petrol au diesel imepanda Kwa kiasi gani
#KaziIendelee
View attachment 2312416View attachment 2312417View attachment 2312418
Ahahha mim nkiweka ka ist kangu gesi ya elfu 50 full natumia wiki 2 na nusu ndio naenda tena ubungo kujaza... wese nishasahau labda niwe na safar ya mkoa ndio najaza
Hivi shilling ngapi kufunga Mfumo wa gas..Ahahha mim nkiweka ka ist kangu gesi ya elfu 50 full natumia wiki 2 na nusu ndio naenda tena ubungo kujaza... wese nishasahau labda niwe na safar ya mkoa ndio najaza
Najivunia kuwa Mwana CCMNa hapo unaambiwa imewekwa na ruzuku!😁.
USA mafuta bei ghali kuliko TZMama yenu anasemaje? Tukinyamaza itafika elfu tano
2mHivi shilling ngapi kufunga Mfumo wa gas..
Vipi gas inaweza kukufikisha safari ya dar mbeya
Mtambo wa gas ulifunga wapi ? Kiasi gani?Ahahha mim nkiweka ka ist kangu gesi ya elfu 50 full natumia wiki 2 na nusu ndio naenda tena ubungo kujaza... wese nishasahau labda niwe na safar ya mkoa ndio najaza