Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Mbu we acha tu .........afu umpate bidada mwenye sauti mashallahw. afanya kukuimbia taratibu huku akikuchezea nywele kichwani kwa vidole vyake laiiiiini. Ah unasinzia kabla hata hajafika chorus. Mwambao mh.........
...ha ha ha! eeeeehhhh!?,
Shughuli imempata mshughulikiaji!
Wenye vipara tulie tu kuzikosa raha raha!
ha ha ha!