MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Yaani tunaharibu wenyewe Mazingira kwa Uzuzu wetu huku wengine tukikataa Kupanda Miti mingi au hata Kuitunza tu ili ije itusaidie kwa Kivuli, Upepo na hata Mvua leo tunataka Kumhangaisha Mwenyezi Mungu mwenye Majukumu Mamilioni kidogo dhidi ya Watu na Mataifa mbalimbali atusamehe na atushushie Mvua.
Mwenyezi Mungu tafadhali KEROZENE nakuomba endelea tu na Majukumu yako na kamwe usihangaike na Sisi Watanzania bali acha Kwanza tupukutike kwa Kufa kwa Joto Kali na Njaa inayokuja labda ndipo Aklli zitatukaa vyema na tutabadilika.
Haingii Akilini Mataifa yenye shida ya Mvua kwa mfano Israel na Visiwa vya Shelisheli wamejijengea Nidhamu nzuri ya Kutunza Mazingira na hata Kuyavuna Maji kisha Kuyatunza kwa Matumizi ya Kipindi cha Ukame ili yawasaidie katika Kilimo na Matumizi mengine Muhimu ila kwa Watanzania yenye Misimu ya Kutosha ya Mvua tukimbwela mbwela tu na hali ikiwa mbaya ndiyo tunajifanya Kumkumbuka na Kumkimbilia Mwenyezi Mungu kwa Msaada wake.
Huu ni Unafiki na Upuuzi usiovumilika!
Mwenyezi Mungu tafadhali KEROZENE nakuomba endelea tu na Majukumu yako na kamwe usihangaike na Sisi Watanzania bali acha Kwanza tupukutike kwa Kufa kwa Joto Kali na Njaa inayokuja labda ndipo Aklli zitatukaa vyema na tutabadilika.
Haingii Akilini Mataifa yenye shida ya Mvua kwa mfano Israel na Visiwa vya Shelisheli wamejijengea Nidhamu nzuri ya Kutunza Mazingira na hata Kuyavuna Maji kisha Kuyatunza kwa Matumizi ya Kipindi cha Ukame ili yawasaidie katika Kilimo na Matumizi mengine Muhimu ila kwa Watanzania yenye Misimu ya Kutosha ya Mvua tukimbwela mbwela tu na hali ikiwa mbaya ndiyo tunajifanya Kumkumbuka na Kumkimbilia Mwenyezi Mungu kwa Msaada wake.
Huu ni Unafiki na Upuuzi usiovumilika!