youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
- Thread starter
- #41
Unaenda wapNapita tu
Unaenda wapNapita tu
Naenda kulaUnaenda wap
Bila shaka chakula chenyewe ni kiepe yai, wadada wa dar banaNaenda kula
wala hata usijali mkuuNatambua uwepo wako mkuu nilikufanyia booking ila umechelewa kutokea
Ha ha haaa,ajiandae povuWanakuja wahusika mkuu kujitetea
kuna mapovu nimeona hapo juu...mmmmhHa ha haaa,ajiandae povu
Hili ndio povu sasaUlionaje wamejichubua ivo bila kufunua ukaangalia Halafu unajidai eti hutumii hao wadada michubuo, halafu
Hamna cha afadhali wote ni walewale
Sijichubui wala chura sijamuongeza vyote mungu kanipa bure povu liko wapi hapo JoseHili ndio povu sasa
unamshutumu mtoa mada nikadhani jiwe gizani kapeace hahahaSijichubui wala chura sijamuongeza vyote mungu kanipa bure povu liko wapi hapo Jose
Wala, mtoa mada yupo sahihi kuzuia kyjichubua tatizo ni pale aliposisitiza kutengeneza chura na kuyasema mabaka ya wanaojichubua je kayaonaje????unamshutumu mtoa mada nikadhani jiwe gizani kapeace hahaha
kiswahili plz.As far as ur avatar is concerned,slim girl bila shaka ushapendwa tayar
wengine tukipata raha kidogo tu karangi kanakuja sio wote wanajichubua.Dah! Hii Mada yanikumbusha Jana nimemuona mtangazi TV nilimpenda sana zamani kwa uzuri wake natural, kuhamia kituo kingine Jana kawa MWEUPEEEEE!!! dah! Sijui shida nini kwao. Kina dada, Mbona mwahangaika, nimeingia sana.
Namaanisha kulingana na picha ya ID yako yan avatar unaonekana mdada flan km miss, rangi mng'ao afu mzuri so sikua na shaka utakua ushapendwa yan kunalibwana linakula mema yakekiswahili plz.
anhaa sawa labda ana uzoefu naoWala, mtoa mada yupo sahihi kuzuia kyjichubua tatizo ni pale aliposisitiza kutengeneza chura na kuyasema mabaka ya wanaojichubua je kayaonaje????
Labda soko limehamia kwa watu weupe na wenye mishepu