MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Mimi masawli yangu ni madogo tu;
1.Hivi ni kweli ni kipi hasa kitakachomsukuma mwana Kinondoni kwenda kumchagua Maulid Mtulia kwa mara ya pili? Ametutendea kipi kizuri hasa kwa miaka yote 2 umchague tena?
2. Hivi ni kweli mnamuhitaji tena Mtulia?
3.Sababu yake ya kumuunga mkono Rais Magufuli ilitosha kweli kumfanya asababishe billion 1 zitumike kuwaweka bize kwenye uchaguzi tena?
3.Hivi mbunge wa aina hii utamwaminije?
1.Hivi ni kweli ni kipi hasa kitakachomsukuma mwana Kinondoni kwenda kumchagua Maulid Mtulia kwa mara ya pili? Ametutendea kipi kizuri hasa kwa miaka yote 2 umchague tena?
2. Hivi ni kweli mnamuhitaji tena Mtulia?
3.Sababu yake ya kumuunga mkono Rais Magufuli ilitosha kweli kumfanya asababishe billion 1 zitumike kuwaweka bize kwenye uchaguzi tena?
3.Hivi mbunge wa aina hii utamwaminije?