Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,645
- 35,979
Mnapokuwa kazini hasa kada au ofisi moja sometimes mnajisahau na kujiona kama ni kitu kimoja kwa 100%.
Unapomtembelea mwenzako unaweza kuamkwa na akili utakapoona ana nyumba nzuri zaidi, ana projects ambazo hata kibarua kikiisha au akiamua kuacha kazi hawezi kuyumba.
Pia, ukimkuta amelala unaweza kumwamsha kwa kumpa ushauri chanya. Na ikiwezekana mwalike kwako ajifunze kwa macho yake.
Jambo hili la kutembeleana lisifanyike kwa unafiki na umbea. Mwingine akija kwako akiona mjumba anapeleka umbea kazini. Be careful.
Unapomtembelea mwenzako unaweza kuamkwa na akili utakapoona ana nyumba nzuri zaidi, ana projects ambazo hata kibarua kikiisha au akiamua kuacha kazi hawezi kuyumba.
Pia, ukimkuta amelala unaweza kumwamsha kwa kumpa ushauri chanya. Na ikiwezekana mwalike kwako ajifunze kwa macho yake.
Jambo hili la kutembeleana lisifanyike kwa unafiki na umbea. Mwingine akija kwako akiona mjumba anapeleka umbea kazini. Be careful.