Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,172
- 10,890
Huyo mama naye ana mawazo gani? Mtoto anaweza akadanganywa kuwa huyo si mama yake, je mana aliyemzaa huyo kijana ana sababu gani ya kumlala?Ukishangaa ya musa utayaona ya firauni. Sasa nina amini kwamba dunia imefika tamati.
Hapa mtaani kuna jamaa mmoja umri unakadirika kati ya 34 - 39 hivi. Ameoa na kufanikiwa kubahatika kupata watoto 3 wote wakiwa wadogo Shule ya Msingi.
Lakini kitu kilichonishangaza zaidi pamoja na kwamba jamaa anafamilia lakini ni wazi na uwazi usiofichika hapa mtaani jamaa anamla mama yake wa kumzaa.
Na isitoshe kijana wa kiume anawezaje kumshika na kushikanashikana makalio na mama yake hadharani nje kila mtu anapita anawaona? Hii ni laana.
Na inasikitisha kwa kweli.