lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,123
- 33,143
Nikiwa Kama Mtanzania, naomba kutoa ombi na ushauri wangu kwako Jaji Mkuu wa Tanzania. Mahakama Ni Taasisi takatifu mahali popote Duniani. Kuna habari zinaandikwa humu mitandaoni kuwa Kuna njama kutoka watu wa CCM kumhujumu Lissu akiwa mahakamani ili asifaulu kuendelea na harakati zake za kugombea Urais. Ombi langu kwako Jaji Mkuu naomba usafishe tuhuma hizo, iepushe Mahakama na mambo machafu na ya haramu Kama kweli yapo.
Kwako Mkuu wa TAKUKURU, nikiwa kama Mtanzania ili kuleta imani kwa wananchi naomba uwachunguze Shibuda na Lipumba Kuna manenomaneno yanapita huku mitandaoni kuwa wamepewa rushwa na watu wasiojulikana ili wamwekee pingamizi mgombea wa CHADEMA.
Maana yake,
Wao hawana shida na mgombea huyo ila kwa kuwa wameshawishiwa kwa kupewa rushwa hili ni kosa la jinai. Kutoa rushwa kwa sababu yeyote ile Ni kosa. Naomba muwachunguze ili kuleta imani na amani.
Kwako Mkuu wa TAKUKURU, nikiwa kama Mtanzania ili kuleta imani kwa wananchi naomba uwachunguze Shibuda na Lipumba Kuna manenomaneno yanapita huku mitandaoni kuwa wamepewa rushwa na watu wasiojulikana ili wamwekee pingamizi mgombea wa CHADEMA.
Maana yake,
Wao hawana shida na mgombea huyo ila kwa kuwa wameshawishiwa kwa kupewa rushwa hili ni kosa la jinai. Kutoa rushwa kwa sababu yeyote ile Ni kosa. Naomba muwachunguze ili kuleta imani na amani.