6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Habari za Asubuh.
Nimeona post hii kwenye account ya BBC swahili.
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi.
Hata hivyo siku hizi, ndoa nyingi huishia kuvunjika kutokana na sababu moja au nyingine, hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu , na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo.
Yafuatayo ni mambo 5 ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume wake/mpenz wake
1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuoana na mume wako
2. Kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mume wako.
3. Usimwambie mume wako kwamba unampenda sana rafiki yako au shemeji yako
4. Usijaribu kumwambia kuwa unamchukia mama yake au familia yake
5. Usimtishe mume wako kuwa utakuja kuachana naye
Ni mambo ya msingi sana haswa hilo namba 1,
Nimeona post hii kwenye account ya BBC swahili.
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi.
Hata hivyo siku hizi, ndoa nyingi huishia kuvunjika kutokana na sababu moja au nyingine, hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu , na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo.
Yafuatayo ni mambo 5 ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume wake/mpenz wake
1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuoana na mume wako
2. Kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mume wako.
3. Usimwambie mume wako kwamba unampenda sana rafiki yako au shemeji yako
4. Usijaribu kumwambia kuwa unamchukia mama yake au familia yake
5. Usimtishe mume wako kuwa utakuja kuachana naye
Ni mambo ya msingi sana haswa hilo namba 1,