ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 638
- Thread starter
- #101
Yatoke wapi,una lingine mkuu ?Mkeo anamalinda!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatoke wapi,una lingine mkuu ?Mkeo anamalinda!?
Nimeshalipa fanya uchunguzi utaujua ukweliMuda mwengine bangi inaweza kumdanganya mtu akajihisi kalipa kisasi kumbe ndio kwanza anajiongezea matatizo yajayo!
Aanze yeye kuniambia anatembea na mke wanguAcha kujisifia ujinga,mwanaume kamili hawezi kufanya huo upuuzi na kuja kujitapa hapa,kiufupi umefanya jambo la kijinga sana na kama unabisha mwambie mme mwenzio kwamba umemkomoa kwa kutembea na mke wake uone itavokuwa
Wapo wengi tu si ajabu hata mkeo hana ilishaliwa na wengine halafu wewe hujuiHongera kwa kumkuta mke wa mtu bikra umekuwa wa kwanza ktk karne hii
Kama atakwambia mkuuNaamini wife yuko mbioni kulipa kisasi kama hiki. Na mimi nimemtegea afanye kosa kama hilo. Atabeba makosa yangu yote
Hii ni supu ya pweza sio chaiKwahiyo mkeo ameliwa mkuu?..na unaendelea kulala nae kitandana kimoja..Hell nah.
Sema kwa sababu hii ni chai basi acha nikanunue mkate na blueband
Tumia akili japo kiduchu tu utaelewaNilimkuta I kama alivyozaliwa baada ya mtoto wa watu kujisitiri
Kumbuka kuwa Huyu alikuwa mke wa Mtu tayar lkn mtoa mada alimkuta mtoto wa watu kujisitiri..
Uchumi wa Kati
Hapana ,anakuwaje bikra mama wa watoto wawili?Kwahy umemkuta kama alivyo zaliwa alikua bikira
Wapo wengi wengine Wana watoto wanne Ila wapo kama walivyozaliwaMke wa mtu umemkuta kama alivyozaliwa?!
Comment iliyojaa hekima,kila aliyeisoma amepata kitu cha ziada ,pamoja sana mkuu nimekukubali sanaMnavyopeana mimba nini maana yake?
Kwamba mnatafuta mtoto aliyezaliwa kutokana visasi vya wazazi au
Tuheshimu watoto ht kama hawana kauli.
Kisasi akisaidii,mwanamke/mwanaume hayupo mmoja Na sio lazima muendelee na mahusiano.
Hapo sina jibu mkuu ,atajua mama yakeAhahaha..hebu ngoja nijifanye kam hii sio chai kwanza..
Sasa mkuu huyo mtot akizaliwa sijui utakua unajiskiaje ukiwa unamwangalia...ZAO LA KISASI...dah...
Hivyohivyo ulivyomke wa mtu.......
hivi unatuchukuliaje wewe!
JF raha sanaUnajichanganya kusema mke wa mtu umemkuta anajitunza yupo kama alivyozaliwa! Kwamba ni bikira Ama! Anawezaje mke wa mtu kuwa bikira? Na Kama sio bikira, anakuwaje kama alivyozaliwa!!!
Hata sielewiAlijifunza nini mke wa mtu anajitunzaje?
Nichunguze ili iweje, taarifa tu ni kwamba sio kwamba umepunguza matatizo bali umeongeza.Nimeshalipa fanya uchunguzi utaujua ukweli
watu na ndoa zenuKuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Umesema ni mke wake alafu ukamkuta kama alivyozaliwa, hapo inakaaje mkuu au mimi sijaelewa?!🤔Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.