Ewaa, hatimaye nimelipa kisasi... Full shangwe

Acha kujisifia ujinga,mwanaume kamili hawezi kufanya huo upuuzi na kuja kujitapa hapa,kiufupi umefanya jambo la kijinga sana na kama unabisha mwambie mme mwenzio kwamba umemkomoa kwa kutembea na mke wake uone itavokuwa
Aanze yeye kuniambia anatembea na mke wangu
 
Nilimkuta I kama alivyozaliwa baada ya mtoto wa watu kujisitiri

Kumbuka kuwa Huyu alikuwa mke wa Mtu tayar lkn mtoa mada alimkuta mtoto wa watu kujisitiri..


Uchumi wa Kati
Tumia akili japo kiduchu tu utaelewa
 
Mnavyopeana mimba nini maana yake?

Kwamba mnatafuta mtoto aliyezaliwa kutokana visasi vya wazazi au

Tuheshimu watoto ht kama hawana kauli.

Kisasi akisaidii,mwanamke/mwanaume hayupo mmoja Na sio lazima muendelee na mahusiano.
Comment iliyojaa hekima,kila aliyeisoma amepata kitu cha ziada ,pamoja sana mkuu nimekukubali sana
 
Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.

Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye

Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
watu na ndoa zenu
 
Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.

Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye

Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Umesema ni mke wake alafu ukamkuta kama alivyozaliwa, hapo inakaaje mkuu au mimi sijaelewa?!🤔
 

Similar Discussions

39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom